Mwanafunzi Afariki kwa kunywa Methanol

Mwanafunzi Afariki kwa kunywa Methanol

Taratibu za maabara yoyote ni lazima upewe maelekezo na uyafuate, je Mwalimu alitoa/hakutoa maelekezo kabla hajagawa hiyo chemical
Ninachojua Mimi. Mkiingia fomu wani mnapewa orientation ya kutumia maabara na shule nyingine Hadi orientation ya kutumia vyoo vya ku flush.
Sasa Hawa fomfoo watakua wamesahau walicho fundishwa miaka minne iliyopita?
Tusimlaumu mwalimu
 
Taratibu za maabara yoyote ni lazima upewe maelekezo na uyafuate, je Mwalimu alitoa/hakutoa maelekezo kabla hajagawa hiyo chemical
Kwani mwanafunzi wa kidato cha 4 hajui maelekezo ya maabara ambayo huanza kufundishwa tangu kidato cha kwanza?

Hata hivyo, mimi si mwalimu na wala sikuwepo on the incident.
 
The initial symptoms of methanol intoxication include central nervous system depression, headache, dizziness, nausea, lack of coordination, and confusion. Sufficiently large doses cause unconsciousness and death....
 
Taratibu za maabara yoyote ni lazima upewe maelekezo na uyafuate, je Mwalimu alitoa/hakutoa maelekezo kabla hajagawa hiyo chemical
Mtu mpaka anasoma chemia hajui sheria za maabara mpaka akumbushwe kila akiingia kufanya peactical?

Hao ni wajinga tu mwl asilaumiwe.
 
Wanashindwa kuelewa kuwa historia ya mgonjwa ni 'muhimu' sana. Na huwezi tu kuhisi kuwa kanywa sumu bila kupewa ushirikiano.

Na inapotokea hali kama hiyo unatakiwa kumtibu mgonjwa kutokana na dalili anazozionyesha huku ukiendelea kumchunguza hali yake.

Hata baada ya kupewa taarifa walifanya upesi kuwahamisha hospital ya rufaa.
Yaah ndo maana nasema Hawa ambao Ilijulikana Walikunywa methanol yani watapona Vizuri tu faster sana maana watafanya treatment ya kuondoa Methanol..!! Yani fasterl tu... Ila hawa walitibu matokeo ya tatizo na damage ya methanol iko slow but its really sana.
 
Mtu mpaka anasoma chemia hajui sheria za maabara mpaka akumbushwe kila akiingia kufanya peactical?

Hao ni wajinga tu mwl asilaumiwe.
Mwalimu hawezi laumiwa hata Kidogooo.. Mabara zetu sumu sio Methanol tu...!! Sasa kama mtu haelewi kuwa huruusiwi kula ndani ya maabara ana jambo lake...!!
 
Laboratory rules,don't taste any thing,tangu form one wanafundishwa na leo wako form four hawafati sheria ujuaji umewaponza,sis hata distilled water hatunywi wao ndo wanajikuta wajuaji
 
Ulitaka waone Ugonjwaa gani????? Unadhani kuwa na dalili za ugonjwa inatoshaa kufanya vipimo vioneshe una ugonjwaa.. Kilochotokea itakuwa walitreat symptoms za ugonjwa lakini Methanol ni sumu inayoharibu macho...maini na figo yani slow slow tu lakini mwisho wa siku yanakukuta hayoo...
Point yake ni kwamba kwa nini hawakuwapa rufaa kwa nini waendelee kutibu ugonjwa usoonekana na nadhan kama wangekuwa makini bas wangewahoji vzur wangewambia mapema
 
Usela mavi wa ki-skuli skuli...nilipokuwa form one nilikariri sana ile donti drink or eat enesingi in ze laboratori,yaani hii hata unikurupushe usiku wa manane,ukisema taja laboratori rules,sikosi dadeek
 
Wanashindwa kuelewa kuwa historia ya mgonjwa ni 'muhimu' sana. Na huwezi tu kuhisi kuwa kanywa sumu bila kupewa ushirikiano.

Na inapotokea hali kama hiyo unatakiwa kumtibu mgonjwa kutokana na dalili anazozionyesha huku ukiendelea kumchunguza hali yake.

Hata baada ya kupewa taarifa walifanya upesi kuwahamisha hospital ya rufaa.

Kwahiyo kama umetibu dalili zote na mgonjwa haponi, unaendelea kukaa nae ili ugundue nini. Yaani mpaka sasa hamjui nashangaa hospitali kukaa na mgonjwa ilhali hawana uwezo wa kumtibu?
 
Atakuwa Chadema huyo, maana alitaka kuwa kama mzee wa faru John.
 
Ndo matatizo ya kuruhusu viroba haya, hadi watoto wadogo wanaweza kununua...jambo la kujiuliza hao wanafunzi wanafanya practicals bila mtu wa kuwasimamia, mwalimu au technician!
 
Ndo matatizo ya kuruhusu viroba haya, hadi watoto wadogo wanaweza kununua...jambo la kujiuliza hao wanafunzi wanafanya practicals bila mtu wa kuwasimamia, mwalimu au technician!
Ina maana ukiwa unawasimamia ndio hugeuki au huendi hata chooni upo tu bize kuangalia nani atakunywa au kuonja kitu umzuie?


Hao madogo wajinga tu.
 
Dont' use jaziba in the laboratory!!!!!

Namkumbuka sana mwanangu Roja Mpitimbi"""" Baada ya Kuiba (Trapia maabara)....Samaki wa zoezi!!!!!

Sijui alimpeleka wap!
 
Methanol is highly flammable and toxic. Direct ingestion of more than 10mL can cause permanent blindness by destruction of the optic nerve, poisoning of the central nervous system, coma, and possibly death. These hazards are also true if methanol vapors are inhaled.
 
Sio lazma taarifa za vifo zitolewe na Kamanda wa mkoa... Vifo vingine vinatokea sababu ya kitabibu na sio matukio ya jinai

Mkuu.

Vifo vyote vinatakiwa kuchunguzwa mpaka vyombo husika vijiridhishe kuwa hakuna foul play.

Hata hivyo nafahamu kuwa hapo ni bongo.
 
Back
Top Bottom