Mwanafunzi Afariki kwa kunywa Methanol

Mwanafunzi Afariki kwa kunywa Methanol

Methanol ni hatari sana. Ukinywa kuna mawili kufa au kuwa kipofu inategemea umekunywa kiasi gani. Tena hata ukichanganya na pombe nyingine unaweza kuwa kipofu kabisa.

Kuna jamaa walichangaya methanol na bia ili kukoleza stimu. Kufika saa tisa mchana wakaanza kuulizana mbona leo jua limezama mapema hivi.

Kumbe walishapofuka macho!
 
Kuna jamaa walichangaya methanol na bia ili kukoleza stimu. Kufika saa tisa mchana wakaanza kuulizana mbona leo jua limezama mapema hivi.

Kumbe walishapofuka macho!

tuelezee kidogo mkuu ilikuwaje hii
 
Back
Top Bottom