Hivi zile sheria/kanuni/taratibu za maabara walizielewa kweli!
Wape pole walionusurika.
PointUkiachilia mbali hao wajinga kunywa sumu, kuna hili ambalo wengi ni kama hatulioni kwenye hii habari.
Wamepimwa ugonjwa haukuonekana (bila shaka hapa ni ishu ya vifaa kutokidhi mahitaji katika kituo cha afya husika na hili ni tatizo karibia nchi nzima isipokuwa kwa baadhi vilivyopo dar) na bado madaktari na manesi wanaendelea kukaa na mgonjwa.
Hii ina maana kwamba kama sio dogo kukiona kifo jirani na kutoboa siri, wangekufa bila kujulikana tatizo ni nini. Kwann kama hapo walipopokelewa na kupewa huduma ya kwanza walishindwa kutambua tatizo hawakuwapa rufaa mapema?
Ifike mahali tuache kucheza na afya za watu![]()
Bado sijaipata vyema point yako bro, so kwa mtazamo wako unaona madaktari walikua sahihi kwa kubweteka kwao sababu wameshindwa kuona ugonjwa ?Ulitaka waone Ugonjwaa gani????? Unadhani kuwa na dalili za ugonjwa inatoshaa kufanya vipimo vioneshe una ugonjwaa.. Kilochotokea itakuwa walitreat symptoms za ugonjwa lakini Methanol ni sumu inayoharibu macho...maini na figo yani slow slow tu lakini mwisho wa siku yanakukuta hayoo...
Walitibu symptoms akapata nafuu lakini ndani methanol iliendendelea kumtafuna thats it..Bado sijaipata vyema point yako bro, so kwa mtazamo wako unaona madaktari walikua sahihi kwa kubweteka kwao sababu wameshindwa kuona ugonjwa ?
Ethanol ni kemikali itumikayo katika utengenezaji wa pombe. Basi nao wakidhania ni pombe wakaibugia. Asaleeh! Tuwakemee watoto wetu wajaribupo kuonja ama kushawishika katika matumizi ya pombe katika umri mdogo.
Baada ya kuinywa, waliendelea na mambo yao. Hali zao zilianza kubadilika baada ya siku mbili. Wakakubaliana kuifanya siri isigundulike. Walilegea na kuzidiwa na kufikishwa katika kituo cha afya cha karibu. Madaktri walianza kuwapima, hawakuonyesha dalili ya ugonjwa wowote.
Zinafundisha tangu kidato cha kwanza na ukiingia maabara unazikuta zimebandikwa.Hivi zile sheria/kanuni/taratibu za maabara walizielewa kweli!
Wape pole walionusurika.
Hawa wamekunywa Methanol ni sumuu...!! Gongo ni ethanol iliyokomaaa...Walikunywa mzigo concetrated, hawajui kwamba mzigo wa nyagi lazma uwe distilled kwanza before kuingizwa kwenye chupa.![]()




Watu wengine wanadhanigi ule ni utanii..Zinafundisha tangu kidato cha kwanza na ukiingia maabara unazikuta zimebandikwa.
-Do not eat or drink in the laboratory



Hawa wapiga gongo wanatumia simple distillation,na ndio hapo methanol haiwi well separated na ethanolGongo imepigwa marufuku kwasababu , kwenye fractional distillation ule mrija wa kiswahili sio mrefu hivyo methanol hujipenyeza kwa kiwango kidogo.
Pale konyagi Dar, mirija Ni mirefu Kama gorofa kiasi kwamba methanol yote inabaki chini Ni ethanol tu ndio inayokingwa.
Wanashindwa kuelewa kuwa historia ya mgonjwa ni 'muhimu' sana. Na huwezi tu kuhisi kuwa kanywa sumu bila kupewa ushirikiano.Walitibu symptoms akapata nafuu lakini ndani methanol iliendendelea kumtafuna thats it..
Cha kushangaza Gongo Ni pombe halali nchini Uganda na haijawahi ua mtu.Hawa wapiga gongo wanatumia simple distillation,na ndio hapo methanol haiwi separated na ethanol
Hujasoma vema. Walikuwa kwenye mazoezi kwa vitendo. Na mwalimu wao bila shaka alikuwepo kuwaelekeza.