Ndiyo maana yake mkuu,watu wanaojiua mimi huwa wananikera sana!
R.I.P mwanachuo
life-jesus=0, ndio kama hivyo mnaishia kujinyonga, tukiwahubiria muokoke mnasema tumechanyikiwa. UKIWA NA YESU ANAKUPA AMANI NA NGUVU YA KUSHINDA JARIBU LOLOTE BADALA YA KUISHIA KUJINYONGA.
Njelekela siyo Mhehe ni Mpare mimi niliweka ile neno kwa kejeli tu haswa ilikuwa niwaulize je hata huyu ni Mhehe? Katika maana kuwa siyo wote wanaojinyonga ni wahehe fani hii inashika kasi.
i was at the scene nilioverhear rafiki yake aliemshusha akiongea kwa huzun nd he said the guy was Hehe in nature
una uhakika hayajanikuta au unaandika kuongeza posts tu?hayajakukuta japo kujinyonga sio suluhisho. Hata hiyo equation utaisahau
Chanzo hakjajulkanya but nitakuja na more updates
=========================