Hizi tobo zinatuhalibia nchiMwanaenzi Hassan Suluhu akiomba kura kwa ajili ya Ubunge wa Viti Maalum kupitia UVCCM. Ameomba kutuwasilisha bungeni ni sahihi?😂
View attachment 3429409
Wakimpitisha Kwan watakua wamekoseaKashapita huyo, maana wajumbe wna mzuka naye kama wote
Bhc Kuna watu watamponda maana wanaona Hana haki kisiasa kisa ndugu yke anacheo serikalinMwanaenzi Hassan Suluhu akiomba kura kwa ajili ya Ubunge wa Viti Maalum kupitia UVCCM. Ameomba kutuwasilisha bungeni ni sahihi?😂
View attachment 3429409
Yes,Mdogo ake?
Ndicho unachoweza tu hiki, wewe ulikuja duniani kwa ajili ya kutumikia wengine?!Mungu awe Upande wake na kumshindia Vita yake.
Ngedere ni wengi safari hiiMwanaenzi Hassan Suluhu akiomba kura kwa ajili ya Ubunge wa Viti Maalum kupitia UVCCM. Ameomba kutuwasilisha bungeni ni sahihi?😂
View attachment 3429409
Ccm kumejaa wajinga wa kutosha, hajasema hata atafanya nini tofaiti na wengine. Na cha ajabu hakuna hata mwenye swali la kumuuliza. Huu ujinga upo ccm tu.Mungu awe Upande wake na kumshindia Vita yake.