Mwanadamu na matumizi ya uwezo wake!!!!

Tiger,ni kweli tukiujadili uumbaji kwa mujibu wa biblia hatutakua tunajadili "uumbaji" bali uumbaji kwa mujibu wa biblia,lakini tutakapoujadili kumbuka tayari tutakua tumeanza safari ya kuelekea kwenye ukweli kwani huenda biblia ikawa iko sahihi,na kama imekosea tayari hatutakua na shida ya kuijadili tena na tutasonga mbele,kuliko kuacha na kubaki tunajiuliza kama iko sahihi ama la.Pia kujadili uumbaji kwa mujibu wa biblia tayari tunakua tumejadili uumbaji lakini angalau kwa sehemu ambayo inaweza kuwa sahihi kuliko kukaa na kusema uumbaji ni complex theory.Note:Siamini kama uumbaji kwa mujibu wa biblia unachanganya,mpaka nitakapothibitisha hivyo!!
 
Last edited by a moderator:
Hizo dini zenyewe zina madhehebu kadhaa kuonesha kuwa even a particular religion haijaeleweka kwa waumini wake.
Sasa mafundisho yepi kati ya hayo yatakuwa sahii?

Watu wanaposhindwa kuielewa dini hilo ni tatizo la watu sio dini.Pia usitafute kufundishwa na dhehebu,why usitumie akili na ubongo wako kusoma kitabu cha dini husika ili uelewe?
 
Kagua kupitia mfano niliosema wa kulazimisha utapata mwanga!

Ah! Bwanae mi naona niishie hapa, maswali yangu ya uumbaji hujajibu huko juu ila naona tunaelekea jukwaa la dini.
Kama muelekeo ukirekebika ntarudi.
 
Ah! Bwanae mi naona niishie hapa, maswali yangu ya uumbaji hujajibu huko juu ila naona tunaelekea jukwaa la dini.
Kama muelekeo ukirekebika ntarudi.

Maswali gani?Hebu yarejee!!
 
Nilisema hivyo kwakuwa uumbaji wa kwenye bible si sawa na wa kwenye quran, pia sijui budha, hindus na dini nyingine zinasemaje.
Pamoja na hilo kwann tuamini kuwa uumbaji wa kwenye bible ndio standard?
What if evolution theory inzungumzia uumbaji in a different way?

Hii post yako nimekujibu nikakueleza kuwa ni kweli Quran na Biblia ni tofauti kwa sababu zimetoka vyanzo tofauti.Hivyo nikakuambia kuwa tujadili Biblia kwa sababu ndiyo ninayoiamini,lakini haimaanishi iko sahihi kwa kila mtu.Kuhusu imani nyingine pamoja na evolution siwezi kujadili kuhusu hayo kwa sababu sijui na siamini kama ni sahihi!
 
Hii post yako nimekujibu nikakueleza kuwa ni kweli Quran na Biblia ni tofauti kwa sababu zimetoka vyanzo tofauti.Hivyo nikakuambia kuwa tujadili Biblia kwa sababu ndiyo ninayoiamini,lakini haimaanishi iko sahihi kwa kila mtu.Kuhusu imani nyingine pamoja na evolution siwezi kujadili kuhusu hayo kwa sababu sijui na siamini kama ni sahihi!

Kwakuwa umesema siyo lazimu umbaji wa kwenye bible uwe sahihi kwa kila mtu, maana yake ni kuwa uumbaji wake siyo universal na mimi nataka kitu univesal.
Je, nikikuuliza uumbaji upi ni universal utajibu nini?
 
Tiger,nitakujibu wa kwenye biblia.Nimekujibu hivyo kwa sababu umeniuliza MIMI,suala la uumbaji huo kutokuonekana sahihi kwa wengine ni tatizo lao sio la biblia!
 
Last edited by a moderator:
Tiger,nitakujibu wa kwenye biblia.Nimekujibu hivyo kwa sababu umeniuliza MIMI,suala la uumbaji huo kutokuonekana sahihi kwa wengine ni tatizo lao sio la biblia!

Swala linabaki pale pale, lengo langu si ku-discuss one aspect of creation i want the universal one.
 
Last edited by a moderator:
Sio kweli,uoga wa kuitumia akili yetu ipasavyo ndo insanity!

mkuu eiyer
swala sio uoga ni uwezo,uwezo wetu mdogo wa kutumia akili zetu ndio tatizo la msingi.swali ni kwa nini hatuna uwezo huu?
watu wengi tu wavivu wa kufikiri we take things for granted.hatujishugulishi kufikiri na kuja na masuluhisho ya matatizo na majibu ya matatizo hayo.tukipa basic needs zetu tunaridhika siku zinasogea hakuna kipya kinachotokea,wachache walioamua kufikiri kwa makini mawekuja na majibu ya mambo kadhawakadha. na hapo ndio hiyo 10percent sasa tukijifikirisha zaidi twaweza sogea hadi 50 pata picha itakuwaje world will be better place or otherwise.
 
naamini makuzi na malezi yanachangia watu kuwa sio wadadisi sio waleta suluhu ya mambo mbalimbali wengi wamekuzwa kusubiri wengine wafikiri kwa niaba yao mwisho wa siku hakuna anayefikiri kabisa.
 
Hizo dini zenyewe zina madhehebu kadhaa kuonesha kuwa even a particular religion haijaeleweka kwa waumini wake.
Sasa mafundisho yepi kati ya hayo yatakuwa sahii?
Na haiwezi kueleweka kwa sababu wameshaambiwa waamini...ili uwe muumini mzuri ni lazima uwe hauelewi,kama waumuni wote wakielewa Dini itakua ndo mwisho wake kwa hiyo sifa kubwa ya kua muumini ni lazima uwe hauelewi,Histiria inaonyesha walioelewa wote walionekana si waumini wazuri na wengine hata kuuawa kama akina Galileo Galilei.
 
Na haiwezi kueleweka kwa sababu wameshaambiwa waamini...ili uwe muumini mzuri ni lazima uwe hauelewi,kama waumuni wote wakielewa Dini itakua ndo mwisho wake kwa hiyo sifa kubwa ya kua muumini ni lazima uwe hauelewi,Histiria inaonyesha walioelewa wote walionekana si waumini wazuri na wengine hata kuuawa kama akina Galileo Galilei.

Dini ngumu sana mkuu.
 
Dini ni tamaduni tu ya jamii fulani pahala fulani.
Tatizo tuna penda na tumekubali ku adapt tamaduni za wenxetu walio endelea mf. Waarabu na wamisionary.

Mtoto kuwa mkristo, mpagan au muislamu ni kurithi tu toka kwa wazazi wake na ndo maana tunaendelea kurithi tu cjui mpaka lini? Kwa nn hatuluendelea kurithi za babu zetu?

China, urus kuna baadhi ya maeneo hakuna kanisa wala mskiti inakuwaje hapo?

Jiulize swali moja hili:
Kipindi tunakua tumekua tukiambiwa Jerusalemu ni mji wa maajabu, wenye lulu,blah blah blah na tukajengeka kuwa kila mtu anataMani kufka maana kwa uwezo wetu hakuna liye amin kuwa anaweza kufika kirahsi.

Lakin leo inakuchukua saaana siku mbili kufika Jerusalem...hahaha

Babu zetu hawakua wanajua au kufikiri kuwa mawasiliano yanaweza kua kama hv leo kwa maana hiyo huo ndo ulikua ukomo wa uwezo wao wa kufikiri na hiyo ndo maana ya Mungu yaani ni mwisho wa uwezo wako wa kufikir.

Jiulize ni kwa nini the same book ( BIBLE/QURAN) but pple never understand it...why?

mkuu labda mlifundishwa vingine tofauti na Biblia inavyosema. Biblia imeuzungumzia Yerusalem mji mtakatifu mpya unaoandaliwa mbinguni kwa ajili ya watakatifu wale watakaoshinda dhambi, si kwa nguvu zao bali kwa uwezo wa mwannakondoo aliyechinjwa tangu misingi ya dunia. Si yerusalemu hii ya Palestina.
Hii itapita na dunia yote yenye maharibifu itatupwa kwenye ziwa la moto
 
Eiyer. Swali langu ni kwanini watu dunia nzima tumetofautiana kuielewa Biblia? Take your time and think!
mkuu tofauti zzinatokana na jinsi ambavyo viongozi wa dini wanavyotafsiri ili ku-justify their weakness pamojaa na kuruhusu upagani utawale kweny imani. mfano ni jhinnsi wakatoliki wanavyong'ang'ania masanamu wakati imekatazwa mara nyingi sana katika biblia. Pia wengine wanavyozikataa amri za Mungu kwa kudai eti ni za agano la kale. Hawasomi hata sifa ya watakatifu waliotajwa katika ufunuo 14:12 "hapa ndipo penye subira ya watakatifu, hao wazishikao amri za Mungu na imani ya Yesu kristu"
 
mkuu labda mlifundishwa vingine tofauti na Biblia inavyosema. Biblia imeuzungumzia Yerusalem mji mtakatifu mpya unaoandaliwa mbinguni kwa ajili ya watakatifu wale watakaoshinda dhambi, si kwa nguvu zao bali kwa uwezo wa mwannakondoo aliyechinjwa tangu misingi ya dunia. Si yerusalemu hii ya Palestina.
Hii itapita na dunia yote yenye maharibifu itatupwa kwenye ziwa la moto

Napata taabu sana ku-imagine jinsi malaika walivyo busy kuujenga huo mji.
 
Back
Top Bottom