Mwanadamu na matumizi ya uwezo wake!!!!

Ndo maana Yesu alisema yeye ni Mungu....Then mtu anakurupuka kusema haiwezekani Yesu akawa Mungu...hyo inayoitwa Mungu unaielewa vizuri???Tatizo tunaogopa kudadisi nadharia ya Uungu kwa sababu dini zetu nyingi zinasema ni kufuru...check kwenye google verse za Tao Te Ching by Lao Tzu.
Wapi alisema yeye ni mungu?

jw library
 
Huitaji kusoma tafiti kujua kuwa binadamu hatumii uwezo wake wote mfano mzuri hupo hapa Tanzania Amna karibia wote tuna historian ya kutupa makopo chini baadala ya kwenye dustbin
 
Ni nadharia nzuri sana! inamfanya binadamu asikate tamaa katika kutafuta suluhisho la matatizo mbalimbali katika Maisha!
Sidhani kama inaukweli! Mtu anapofanya jambo lolote lile anatumia akili yake yote! The Whole Brain works.
Akili ya binadamu sio Flash driver! Kwamba inaukubwa wa GB 100! na binadamu ameweza kutumia GB 10 tu mpaka sasa!
Hii ni sawa na msemo wa Wayahudi wa kuwakejeli Waarabu! Eti! Ubongo wa Myahudi sokoni bei yake ni Shekeli 1 Wakati Ubongo wa Mwarabu Sokoni ni Shekeli 10.
Mantiki yake Myahudi ubongo wake ulishachuja kwa matumizi,wakati ubongo wa mwarabu bado mbichi kabisa haujawahi kutumika ipasavyo.(Useful).
 
Tutumie uwezo wetu wa akili tuliokuwa nao kwa vizuri zaid kisha tujiulize, kwann matatizo yasiyo onekana kama mashetani huwa tunaomba msaada kwa mwnyzmungu ambaye haonekani, na matatizo huondoka?

Basi ni hiviiii....kama kisichoonekana kinaweza kuzuiwa na kisichoonekana basi ni wazi kuwa vyote hivyo vipo.
 
Mkuu wewe ulkuwa na suggestion zipi

“Start where you are. Use what you have. Do what you can.”

 
Yesu sio mtume, ni mwana wa Mungu alie hai. Ni Mungu mwana, ambae ni Neno la Mungu. Kasome Yohana 1: 1 inasema "Hapo mwanzo palikuwapo Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu". Soma mpaka mstari wa tatu. Kama hutalielewa hili neno omba mtu anaejua akutafsirie, kwani tatizo la watu wengi wanasoma neno la Mungu bila kulielewa. Kuelewa neno la Mungu unahitaji akili za kiroho, hivyo ni budi kusali kwanza Mungu akufunulie maandiko ndipo usome. Usisome neno la Mungu bila kusali kwanza.
Hii concept ya kiroho haina tofauti na ile ya kusema amini vitabu vyake, malaika wake, amini siku ya mwisho.
Alafu ndio tuanze kukubrainwash ili usiwe na maswali ambayo watadai unamkufuru Mungu....
Binadamu ana utaratibu wa kujudge kipi ni kweli na kipi si kweli... Ukimwambia mtu asome mathayo ngapi hiyo sio proof ya kilichoandikwa ni kweli.

Unawezaje kujustify/verify kwa mtu kwamba bible au quran au any book imecontain only and the only truth na kwamba ndio ina mambo yasiyoonekana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
akohi,sababu zinatofautiana kutoka mtu mmoja kwenda mwingine.Kuna wengine wameathiriwa na mapokeo ya kimafundisho,yaani anaposoma maandiko anayatafsiri kwa mujibu wa namna alivyofundishwa kuitafsiri biblia,wengine uwezo mdogo wa kufikiri n.k.Lakini yote katika yote tunarudi palepale kwenye namna ya kuutumia uwezo wa akili yetu!
Mkuu na huo ndio udhaifu mkubwa...
Kama Mungu alitaka sisi tusitofautiane basi hasingetumia njia hii ambayo ina mikanganyiko chungu nzima, na hii kwa mtazamo wangu naona kwamba yanayosemwa yanamcontradict huyo Mungu..... Kwenye hili Mungu hana cha kumlaumu binadamu kwamba kwanin hakumuamini kupitia quran au biblia .

Ni kwanin usingetumika utaratibu wa kumjua Mungu uwe ni kama vile wa kwenda haja, tungezaliwa ubongo wetu ukiwa tayari na informations za kumuhusu yeye..

Kinyume cha hapo kitendo cha kuamini Mungu kinakuwa ni option kwani whether unamuamin au haumuamini tutaishi na kufa wote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
haha..nadhani hujanielewa kwa vile nimeweka mambo mengi.Labda tuu nikuulize perfection ya Mungu inahusiana vipi na mapungufu ya binadamu,mwenye uhuru na kiburi?(mojawapo za roots of evil ni greed, pride,).Huko kuwa perfect ndioko kunamfanta ashindwe ishi na evil.Na kama ni huruma Mungu kafanya Huruma sana kwa binadamu, kafanya maaganao mengi sana nao,ila binadamu kayavunja,bado yeye ndiye anayekuja kututafuta na kuanza tena mengine.

Kukasirika kwa haki si kosa ila ni ukamilifu.Nadhani mara nyingi umeshaona watoto wakililia haki ya kupewa urithi wao, na uhuru wa kutumia wapendavyo, wazai wanaona kabisa mwanao hawezi kutumia hizo mali kwa busara ila hawawezi vunja sheria na kumnyima au hata kumyima uhuru.Ila baadaya wanasikia mwano kawekwa ndani kwa kupigana baa, kaleta hasara na pengine kaua mkewe.Sidhani kama hutokuwa na hasara.Je unadhani hata kama unajua kuwa mwanao hawezi yatazama maisha,nin utafanya kwa haki wakati mwanao mwenyewe hajui kuwa baada ya hapo mambo yatakwenda mwaribikia kabisa?Na hata kama anajua ila kayapenda hayo maisha, na akakuambia kwanini unamhukumu na hujaona akikosea utamjibu nini?Huwezi mhukumumu mtu kabla hajatenda ,hata kama unajua akitenda atasababisha hasara kubwa.Watu wana abuse sheria makusudi, hujaona watu hawaheshimu sheria ikiwabana,ila wanaitumia ikiwa inawasaidia?mahakama haiwezi sema sikupi sheria kwa vile huitambui.
Hivi agano ukilivunja wewe ndio linakuwa limevunjwa na your siblings??
Unajua sisi ni uzao wa ngapi tangu makubaliani ya maagano yalipofanyika.

How come tunawekwa kwenye kundi moja?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu na huo ndio udhaifu mkubwa...
Kama Mungu alitaka sisi tusitofautiane basi hasingetumia njia hii ambayo ina mikanganyiko chungu nzima, na hii kwa mtazamo wangu naona kwamba yanayosemwa yanamcontradict huyo Mungu..... Kwenye hili Mungu hana cha kumlaumu binadamu kwamba kwanin hakumuamini kupitia quran au biblia .

Ni kwanin usingetumika utaratibu wa kumjua Mungu uwe ni kama vile wa kwenda haja, tungezaliwa ubongo wetu ukiwa tayari na informations za kumuhusu yeye..

Kinyume cha hapo kitendo cha kuamini Mungu kinakuwa ni option kwani whether unamuamin au haumuamini tutaishi na kufa wote.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unahoji ni kwanini Mungu angeumba binadamu kama roboti halafu hapo hapo unahitaji uwe na uwezo wa kuchagua mambo....

Nani anajikinza sasa hapa?

Mengine hata tukijadiliana hapa hatutaelewana kamwe....
 
Unahoji ni kwanini Mungu angeumba binadamu kama roboti halafu hapo hapo unahitaji uwe na uwezo wa kuchagua mambo....

Nani anajikinza sasa hapa?

Mengine hata tukijadiliana hapa hatutaelewana kamwe....
Basi twende hivi hivi... Ila mfumo huu wa namna hiyo umeshafeli mkuu.

Sioni sababu ya binadamu kulaumiwa aidha kwa kutenda mazuri au kutenda mabaya kwa yaliyo kwenye uwezo wake.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huenda hao ndio wametumia %nyingi zaidi ya hizo 10%..mi najiona kama msindikizaji duniani hapa naishia kufarijika na maneno kama huwezi jua kila kitu na huwezi kutojua kila kitu.natembea na Mungu
 
Mkuu na huo ndio udhaifu mkubwa...
Kama Mungu alitaka sisi tusitofautiane basi hasingetumia njia hii ambayo ina mikanganyiko chungu nzima, na hii kwa mtazamo wangu naona kwamba yanayosemwa yanamcontradict huyo Mungu..... Kwenye hili Mungu hana cha kumlaumu binadamu kwamba kwanin hakumuamini kupitia quran au biblia .

Ni kwanin usingetumika utaratibu wa kumjua Mungu uwe ni kama vile wa kwenda haja, tungezaliwa ubongo wetu ukiwa tayari na informations za kumuhusu yeye..

Kinyume cha hapo kitendo cha kuamini Mungu kinakuwa ni option kwani whether unamuamin au haumuamini tutaishi na kufa wote.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo ni freedom tuliyodai km Tanzania walivyodai uhuru.Hadi sasa wanaona manyota,bado wanapambana kujiita wapo huru.
 
Back
Top Bottom