DEFAMATION
Senior Member
- Jun 19, 2017
- 110
- 69
Habari wana JF. Ni matumaini yangu kuwa mko poa wote humu ndani na mnapambana na majukumu ya hapa na pale.
Kiukweli, ni jambo la kushukuru sana kwa kuwa tuko safi na wenye afya njema.
Bila kuzunguka sana.Mimi ni mwanachama mpya wa JF na nipenda kujiunga ili tuweze kujadili mambo mbalimbali yanayogusa Jamii yetu bila kubagua tabaka fulani.
Naomba ushirikiano wenu ndugu zangu.
Nawashukuru sana wakubwa kwa wadogo.
Ahsanteni!
Kiukweli, ni jambo la kushukuru sana kwa kuwa tuko safi na wenye afya njema.
Bila kuzunguka sana.Mimi ni mwanachama mpya wa JF na nipenda kujiunga ili tuweze kujadili mambo mbalimbali yanayogusa Jamii yetu bila kubagua tabaka fulani.
Naomba ushirikiano wenu ndugu zangu.
Nawashukuru sana wakubwa kwa wadogo.
Ahsanteni!