Nimekua nikisoma thread zenu nzuri na zenye mtazamo wa kujenga fikra pevu ndugu zangu wana jamii na nimekua na kiu ya kujiunga ili namii niwe mmoja wa wanajamii sasa kwa uwezo wa MUNGU nimefanikiwa. Muda si mrefu nitaanza kuchangia baadhi ya mada. Niombeeni. Tuko pamoja