Mwana Simba, ipo siku Yanga atapata mafanikio yako, moto utawaka

Best Daddy

JF-Expert Member
Apr 2, 2019
769
1,292
Natumaini wote ni wazima wa afya, ila kama mwenye matatizo kiafya basi Mwenyezi Mungu(Allah) au kwa imani yako ikusaidie upone.

Basi, kuelekea kwenye Uzinduzi wa michuano mikubwa zaidi ya Vilabu barani Africa (AFL) kumekuwa na hisia tofauti tofauti katika mechi hiyo ya Uzinduzi ambayo itaikutanisha Miamba ya Afrika Masharikia (Simba) vs Al Ahly (Vigogo wa Afrika)

Katika mlengo wa Soka, hizi hisia tofauti zimetokana na baadhi ya mashabiki wa Simba na wale wapenda Soka kufurahishwa na si tu uwepo wa Simba katika mashindanio hayo, bali kuwa sehemu ya uzinduzi wa mashindano hayo ambayo yatahudhuriwa na viongozi wakubwa kutoka FIFA na wale wa CAF.

Lakini, kuna kundi la pili la mashabiki na viongozi lisilo furahishwa na hili, wazi limeonesha chuki kubwa ya uwepo wa Simba, pia kupewa thamani kubwa ya kuwa sehemu ya uzinduzi wa Mashindano hayo. Hili kundi linatumia nguvu kubwa sana kuichafua Simba, kudhihaki mashindano na ajenda nyingi ili kushusha thamani ya hili linalofanyika. Sio jambo zuri hasa kwa watu wenye akili timamu. Tuishie hapo, hii sio mada ya leo.

Ila nimekuja kutoa lai kwa Wanasimba ya kuwa ipo siku Yanga atapita katika njia anazozipita Simba au atapata mafanikio kama ya Simba, aisee hapatakalika hapa Tanzania.

Simba ni Timu pekee kutoka Tanzania imecheza fainaliya CAF Champions League(ikifahamika hivyo kwa sasa) mwaka 1974, ila naona mashabiki hawana shida na historia hiyo, Maisha yanaendelea.

Simba imecheza Fainali 1993 ila historia hii ilikufa, hadi pale Yanga alipofika fainali msimu ulipopita, Japo historia ipo ila mtaani wao wanajinasibu kama ndiyo timu pekee kufika Fainali. Wanasimba wamekubali, Maisha yanaendelea.

Simba ni timu peke iliyopo katika 10 bora ya Vilabu Afrika, ila tunaulizwa inatusaidia nini? Tumekubali maisha yanaendelea.

Tuna wachezaji, ambao wenye skills na bora Tanzania lakini hatupigi kelele na kuwapa majina ya ukuu wao, Mfano Chama, Sakho. ila wao wamepata mchezaji angalau anaweza kutuliza mpira na Skills kidogo, Pacome, Tayari anaitwa Zidane(Zizou).

Simba ni timu pekee imepata nafasi ya Kucheza na Sevilla, ikaweza kufunga goli nne, ila hata haikuwa issue. Maisha yanaendelea.

Leo Simba imepata nafasi ya Kushiriki AFL, timu pekee Tanzania ila bado kwa wanaSimba kama sio issue, hata furaha yako haiumizi watu wengine. Maisha yanaendelea. Assume Yanga ingepata nafasi hii?

Ukitoa Viongozi wakubwa watakao hudhuria , Ila umepata nafasi ya kushuhudiwa na Arsene Wenger, kwako hata sio issue. Tunakumbuka alikuja hapa Pisto Mosimane alionekama kama ni Kocha bora duniani( Kocha ka dunia).

Sijui ni ukomavu katika soka, akili nyingi au dharau zetu, ila assume haya mafanikio yangekua Yanga? Kumbe hayo ni mafanikio ya kipekee.

Japo inaweza chukua muda mrefu sana au isitokee, Ila Siku ikitokea Yanga amepata mafanikio ya kipekee ambayo Simba hajawahi fikia, Tanzania haitakua sehemu ya amani tena kwa Mashabiki wa Simba.

Tafadhari cheka kwa uhuru wakati bado meno yapo.

 
Natumaini wote ni wazima wa afya, ila kama mwenye matatizo kiafya basi Mwenyezi Mungu(Allah) au kwa imani yako ikusaidie upone.

Basi, kuelekea kwenye Uzinduzi wa michuano mikubwa zaidi ya Vilabu barani Africa (AFL) kumekuwa na hisia tofauti tofauti katika mechi hiyo ya Uzinduzi ambayo itaikutanisha Miamba ya Afrika Masharikia (Simba) vs Al Ahly (Vigogo wa Afrika)

Katika mlengo wa Soka, hizi hisia tofauti zimetokana na baadhi ya mashabiki wa Simba na wale wapenda Soka kufurahishwa na si tu uwepo wa Simba katika mashindanio hayo, bali kuwa sehemu ya uzinduzi wa mashindano hayo ambayo yatahudhuriwa na viongozi wakubwa kutoka FIFA na wale wa CAF.

Lakini, kuna kundi la pili la mashabiki na viongozi lisilo furahishwa na hili, wazi limeonesha chuki kubwa ya uwepo wa Simba, pia kupewa thamani kubwa ya kuwa sehemu ya uzinduzi wa Mashindano hayo. Hili kundi linatumia nguvu kubwa sana kuichafua Simba, kudhihaki mashindano na ajenda nyingi ili kushusha thamani ya hili linalofanyika. Sio jambo zuri hasa kwa watu wenye akili timamu. Tuishie hapo, hii sio mada ya leo.

Ila nimekuja kutoa lai kwa Wanasimba ya kuwa ipo siku Yanga atapita katika njia anazozipita Simba au atapata mafanikio kama ya Simba, aisee hapatakalika hapa Tanzania.

Simba ni Timu pekee kutoka Tanzania imecheza fainaliya CAF Champions League(ikifahamika hivyo kwa sasa) mwaka 1974, ila naona mashabiki hawana shida na historia hiyo, Maisha yanaendelea.

Simba imecheza Fainali 1993 ila historia hii ilikufa, hadi pale Yanga alipofika fainali msimu ulipopita, Japo historia ipo ila mtaani wao wanajinasibu kama ndiyo timu pekee kufika Fainali. Wanasimba wamekubali, Maisha yanaendelea.

Simba ni timu peke iliyopo katika 10 bora ya Vilabu Afrika, ila tunaulizwa inatusaidia nini? Tumekubali maisha yanaendelea.

Tuna wachezaji, ambao wenye skills na bora Tanzania lakini hatupigi kelele na kuwapa majina ya ukuu wao, Mfano Chama, Sakho. ila wao wamepata mchezaji angalau anaweza kutuliza mpira na Skills kidogo, Pacome, Tayari anaitwa Zidane(Zizou).

Simba ni timu pekee imepata nafasi ya Kucheza na Sevilla, ikaweza kufunga goli nne, ila hata haikuwa issue. Maisha yanaendelea.

Leo Simba imepata nafasi ya Kushiriki AFL, timu pekee Tanzania ila bado kwa wanaSimba kama sio issue, hata furaha yako haiumizi watu wengine. Maisha yanaendelea. Assume Yanga ingepata nafasi hii?

Ukitoa Viongozi wakubwa watakao hudhuria , Ila umepata nafasi ya kushuhudiwa na Arsene Wenger, kwako hata sio issue. Tunakumbuka alikuja hapa Pisto Mosimane alionekama kama ni Kocha bora duniani( Kocha ka dunia).

Sijui ni ukomavu katika soka, akili nyingi au dharau zetu, ila assume haya mafanikio yangekua Yanga? Kumbe hayo ni mafanikio ya kipekee.

Japo inaweza chukua muda mrefu sana au isitokee, Ila Siku ikitokea Yanga amepata mafanikio ya kipekee ambayo Simba hajawahi fikia, Tanzania haitakua sehemu ya amani tena kwa Mashabiki wa Simba.

Tafadhari cheka kwa uhuru wakati bado meno yapo.

Mna - exaggerate AFL.
Ilikua ianzie UEFA timu za Ulaya zikakataa mashindano ya Super league.
Mashabiki wa UEFA ndiyo waliyakataa haya mashindano waliona ni upumbavu.
Nyie mnaona ni hatua kimipra, hatua gani? Zaidi ya kusumbuliwa na njaa.
 
Umeongea utafikiri umezaliwa jana. Simba kuwa top ten CAF mmepiga kelele mitaani mpaka sasa.

Simba kucheza na Sevilla zilijaa tambo humu utafikiri ilikuwa ni mechi ya kimashindano kumbe Sevilla wenyewe walikuwa wanachukulia kawaida tu. Juzi tu hapa mmetoka kucheza friend match na CSKA Moscow mkajiona kama una ubavu nao sawa lakini nusu muumbuke kwa Power Dynamo.

Kwasasa ni kama Marathon, yeyote ambaye atalega lega katika mashindano ya CAF ataacha na mwenzie, kuna utofauti mdogo sana ya point kati ya Simba na Yanga hivyo kunaweza kutokea Yanga akazifikia point za Simba na kuzipita, au wakabakia pale pale walivyokuwa au Simba wakaongeza gap zaidi. Msimu uliopita Yanga aliingiza point nyingi CAF kuliko Simba na kwasasa wote wapo mashindano ya aina moja. Tutaona kitakachojili mwisho wa msimu.
 
Mna - exaggerate AFL.
Ilikua ianzie UEFA timu za Ulaya zikakataa mashindano ya Super league.
Mashabiki wa UEFA ndiyo waliyakataa haya mashindano waliona ni upumbavu.
Nyie mnaona ni hatua kimipra, hatua gani? Zaidi ya kusumbuliwa na njaa.
Kwa hatua waliyopiga, ni kweli baadhi ya vilabu Ulaya havikuweza kukubaliana na mashindo haya kwa wakati ule.

Ila Udogo na njaa ya vilabu vya Africa, sababu zilizotumika kule huku huwezitumia.

Ila kwakua Tayari yamefanyika, AFL ni mashindano makubwa zaidi ya Vilabu barani Afrika.
 
Kwa hatua waliyopiga, ni kweli baadhi ya vilabu Ulaya havikuweza kukubaliana na mashindo haya kwa wakati ule.

Ila Udogo na njaa ya vilabu vya Africa, sababu zilizotumika kule huku huwezitumia.

Ila kwakua Tayari yamefanyika, AFL ni mashindano makubwa zaidi ya Vilabu barani Afrika.
Mshindi wa AFL hashiriki Coca cola cup ni sawa na kombe la Hedex.
 
Natumaini wote ni wazima wa afya, ila kama mwenye matatizo kiafya basi Mwenyezi Mungu(Allah) au kwa imani yako ikusaidie upone.

Basi, kuelekea kwenye Uzinduzi wa michuano mikubwa zaidi ya Vilabu barani Africa (AFL) kumekuwa na hisia tofauti tofauti katika mechi hiyo ya Uzinduzi ambayo itaikutanisha Miamba ya Afrika Masharikia (Simba) vs Al Ahly (Vigogo wa Afrika)

Katika mlengo wa Soka, hizi hisia tofauti zimetokana na baadhi ya mashabiki wa Simba na wale wapenda Soka kufurahishwa na si tu uwepo wa Simba katika mashindanio hayo, bali kuwa sehemu ya uzinduzi wa mashindano hayo ambayo yatahudhuriwa na viongozi wakubwa kutoka FIFA na wale wa CAF.

Lakini, kuna kundi la pili la mashabiki na viongozi lisilo furahishwa na hili, wazi limeonesha chuki kubwa ya uwepo wa Simba, pia kupewa thamani kubwa ya kuwa sehemu ya uzinduzi wa Mashindano hayo. Hili kundi linatumia nguvu kubwa sana kuichafua Simba, kudhihaki mashindano na ajenda nyingi ili kushusha thamani ya hili linalofanyika. Sio jambo zuri hasa kwa watu wenye akili timamu. Tuishie hapo, hii sio mada ya leo.

Ila nimekuja kutoa lai kwa Wanasimba ya kuwa ipo siku Yanga atapita katika njia anazozipita Simba au atapata mafanikio kama ya Simba, aisee hapatakalika hapa Tanzania.

Simba ni Timu pekee kutoka Tanzania imecheza fainaliya CAF Champions League(ikifahamika hivyo kwa sasa) mwaka 1974, ila naona mashabiki hawana shida na historia hiyo, Maisha yanaendelea.

Simba imecheza Fainali 1993 ila historia hii ilikufa, hadi pale Yanga alipofika fainali msimu ulipopita, Japo historia ipo ila mtaani wao wanajinasibu kama ndiyo timu pekee kufika Fainali. Wanasimba wamekubali, Maisha yanaendelea.

Simba ni timu peke iliyopo katika 10 bora ya Vilabu Afrika, ila tunaulizwa inatusaidia nini? Tumekubali maisha yanaendelea.

Tuna wachezaji, ambao wenye skills na bora Tanzania lakini hatupigi kelele na kuwapa majina ya ukuu wao, Mfano Chama, Sakho. ila wao wamepata mchezaji angalau anaweza kutuliza mpira na Skills kidogo, Pacome, Tayari anaitwa Zidane(Zizou).

Simba ni timu pekee imepata nafasi ya Kucheza na Sevilla, ikaweza kufunga goli nne, ila hata haikuwa issue. Maisha yanaendelea.

Leo Simba imepata nafasi ya Kushiriki AFL, timu pekee Tanzania ila bado kwa wanaSimba kama sio issue, hata furaha yako haiumizi watu wengine. Maisha yanaendelea. Assume Yanga ingepata nafasi hii?

Ukitoa Viongozi wakubwa watakao hudhuria , Ila umepata nafasi ya kushuhudiwa na Arsene Wenger, kwako hata sio issue. Tunakumbuka alikuja hapa Pisto Mosimane alionekama kama ni Kocha bora duniani( Kocha ka dunia).

Sijui ni ukomavu katika soka, akili nyingi au dharau zetu, ila assume haya mafanikio yangekua Yanga? Kumbe hayo ni mafanikio ya kipekee.

Japo inaweza chukua muda mrefu sana au isitokee, Ila Siku ikitokea Yanga amepata mafanikio ya kipekee ambayo Simba hajawahi fikia, Tanzania haitakua sehemu ya amani tena kwa Mashabiki wa Simba.

Tafadhari cheka kwa uhuru wakati bado meno yapo.

Imecheza fainali ya Champions League 1974, acha kudesa kwa akina Jemedari Said Kazumari mbwiga wa mbwiga. Utoto raha sana.
 
Mna - exaggerate AFL.
Ilikua ianzie UEFA timu za Ulaya zikakataa mashindano ya Super league.
Mashabiki wa UEFA ndiyo waliyakataa haya mashindano waliona ni upumbavu.
Nyie mnaona ni hatua kimipra, hatua gani? Zaidi ya kusumbuliwa na njaa.
Mbona nyie mlkuwa mnawatuma viongoz wakawaombee nafasi na nyie mshiriki,,vyura bwana akili tu ndo changamoto kwenu,,,msm ujao uto akipata nafas ataacha kushiriki
 
Mbona nyie mlkuwa mnawatuma viongoz wakawaombee nafasi na nyie mshiriki,,vyura bwana akili tu ndo changamoto kwenu,,,msm ujao uto akipata nafas ataacha kushiriki
Hatuachi lakini kushiriki haimaanishi kuwa ni mafanikio. Ni sawa na kombe la Mapinduzi.
Siyo kwa sababu tukishiriki AFL basi sisi ni Bora kuliko Azam.
Use your brain.
 
Umeongea utafikiri umezaliwa jana. Simba kuwa top ten CAF mmepiga kelele mitaani mpaka sasa.

Simba kucheza na Sevilla zilijaa tambo humu utafikiri ilikuwa ni mechi ya kimashindano kumbe Sevilla wenyewe walikuwa wanachukulia kawaida tu. Juzi tu hapa mmetoka kucheza friend match na CSKA Moscow mkajiona kama una ubavu nao sawa lakini nusu muumbuke kwa Power Dynamo.

Kwasasa ni kama Marathon, yeyote ambaye atalega lega katika mashindano ya CAF ataacha na mwenzie, kuna utofauti mdogo sana ya point kati ya Simba na Yanga hivyo kunaweza kutokea Yanga akazifikia point za Simba na kuzipita, au wakabakia pale pale walivyokuwa au Simba wakaongeza gap zaidi. Msimu uliopita Yanga aliingiza point nyingi CAF kuliko Simba na kwasasa wote wapo mashindano ya aina moja. Tutaona kitakachojili mwisho wa msimu.
Naona haukuwa Jf kipindi kile Yanga Sc inajiita ya Kimataifa kwa kushiriki tu CAFCL hatua za awali huku Simba Sc ikiitwa ya matopeni. Simba Sc amekuja kufanya mageuzi mkubwa sana kwenye mindset zetu juu ya michuano ya CAF ngazi ya vilabu.

Kuna team yoyote kwasasa inaweza kujivunia kushiriki mechi za awali.? Amini usiamini, kabla ya Simba Sc kufika huko, hayo yalikuwa ni mafanikio makubwa sana kwa Yanga na zilipigwa kelele nyingi sana humu na kwingineko.
 
Back
Top Bottom