Mwana JF share weakness yako

kinhine ni utani nina utani mwingi ambao huwa siangalii rika wala cheo cha mtu wala wadhifa wake-faida yake huwa najuana na watu wengi sana ila hasara yake nikiwa serious kwenye insu fulani huwa siaminiki.huwa najaribu kuji control lakini siwezi nakuta najikuta nisha tania sana
 
weakness yang bhn.... n pale baada ya kumtongoza mcchana nakuwa mzito kumfuatilia
 
Huwa siwezagi kumnyima ntu kitu kama ninacho....najitahidi kujizuia lakini wapi
 
Sipendi kuona mtu anaonewa kabisaa,yaani niko radhi kusimamisha shughuli zangu zote ili nimsaidie anaeonewa nikishamsaidia moyo wangu unakuwa na amani sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…