Word
JF-Expert Member
- Nov 4, 2016
- 1,356
- 3,232
Ni kweli. Sema broker aliyowaunganisha watu hakuwa brokerMadame, forex trading ni fursa kweli kweli sema nae alipenyeza fursa yake haha
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivo hivo kawaliza wenzioIla huyu jamaa kuna wakati kama simsomi hivi..yaani dizaini kama nanihii hivi..
Haha haya mahaba mema msalimie dadiiAaah wapi hayo ma forex.... mie ni wa analogy kwanza hivo kutengeneza hela online kumenipita kushoto.
Ila ku trade Mahaba aaahh saanaaa kila leo na trade....
Una uhakika huyo jamaa hakututumia kama fursa? Alitutumia bwana sema tu nakumbukaga ule msema wanasema ukitaka kula...
Ni broker sema ni market maker. Mbona hata Templer watu huwa wanasema ni scammer
Hahaaa.. Mkuu huyu jamaa alitujaza ujinga sana.
Sasa ilikuwaje watu wakapigwa hela zao kwa pamoja hivyo kama alikuwa ni broker mzuri kweli.?Ni broker sema ni market maker. Mbona hata Templer watu huwa wanasema ni scammer
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora kama kaweka option ila mimi pia bado siwezi mwamini.Saivi Kaleta option ya mpesa kwenye deposit na withdraw. Sema ni scammer tu me simuamini ata kidogo
Ni broker sema n
i market maker. Mbona hata Templer watu huwa wanasema ni scammer
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata nyie mlikua mnaharaka Sana na hizo pesa za chap. Naye akaona awasulubishe tu.. Yani anawafunza kutrade ndani ya wiki kadhaa tu et utoke umeiva Ku trade forex? Matatizo mliyataka wenyewe.Una uhakika huyo jamaa hakututumia kama fursa? Alitutumia bwana sema tu nakumbukaga ule msema wanasema ukitaka kula...
Sent using Jamii Forums mobile app