R rugo Member Jun 20, 2012 28 12 Jun 24, 2012 #1 Napenda kuwasalimia wanaJF wote. nasema tushirikiane kupigania mabadiliko na uhuru wa kweli katika taifa letu.
Napenda kuwasalimia wanaJF wote. nasema tushirikiane kupigania mabadiliko na uhuru wa kweli katika taifa letu.
stineriga JF-Expert Member Jun 20, 2012 2,172 886 Jun 24, 2012 #3 karibu jf, anza kuzunguka ndani ya mitaa ya jf uwe mwenyeji fwasta, pamoja mkuu