Mwana JF aitwaye Kuberwa kuolewa

Hongera sana Kuberwa.......na hongereni sana wana Kagera kwa kufuata mfano wa Jf HQ (A-Town) na JF Wing (Dar) kwa kuwa wamoja....
Ni jambo la furaha kuona JF members wa sehemu mbali mbali wakienda zaidi ya keyboards zao.......
Na ninawahakikishia mtaweza na mtafanikisha yale yote yaliyo malengo yenu.....
Pamoja sana.....
 
Hongera sana Kuberwa.......na hongereni sana wana Kagera kwa kufuata mfano wa Jf HQ (A-Town) na JF Wing (Dar) kwa kuwa wamoja....
Ni jambo la furaha kuona JF members wa sehemu mbali mbali wakienda zaidi ya keyboards zao.......
Na ninawahakikishia mtaweza na mtafanikisha yale yote yaliyo malengo yenu.....
Pamoja sana.....

Pretta Dar ni tawi? Any how all the best Kuberwa !
 
Ukiwa na ID nyingi uwe na kumbukumbu ona sasa mia amekuwa Eiyer na alibisha ha ha ha ha umekamatika leo

dada dena umedanganya umma. kama huamini mwambie invisible aziunganishe ibaki figganigga tu kama watu hawajaandamana humu. mambo dena? buberwa anaolewa, umejiandaaje?. Mia
 
Hongera sana Kuberwa.......na hongereni sana wana Kagera kwa kufuata mfano wa Jf HQ (A-Town) na JF Wing (Dar) kwa kuwa wamoja....
Ni jambo la furaha kuona JF members wa sehemu mbali mbali wakienda zaidi ya keyboards zao.......
Na ninawahakikishia mtaweza na mtafanikisha yale yote yaliyo malengo yenu.....
Pamoja sana.....

Preta nakukubali sana dada una akili sana kama umeweza kutambua kuwa ni vizuri tukawa failia moja ya ukweli
 
Nitafute mkuu nitoe mchango wangu,

Huu ni mwaka wa kudumisha ndoa na mimi ni mjumbe wa kamati ya mambo ya ndoa....

Nitajisikia faraja kutuma mchango wangu hata kama ni kuduchu...!!
 
Back
Top Bottom