Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,260
Aaah mkuu mbona nishafanya mchakato huo?Mia!
Ukiwa na ID nyingi uwe na kumbukumbu ona sasa mia amekuwa Eiyer na alibisha ha ha ha ha umekamatika leo
Aaah mkuu mbona nishafanya mchakato huo?Mia!
Afadhali nimerudi...........nashukuru sana wana Jf........
Omwana ashwelwe
Hongera sana Kuberwa.......na hongereni sana wana Kagera kwa kufuata mfano wa Jf HQ (A-Town) na JF Wing (Dar) kwa kuwa wamoja....
Ni jambo la furaha kuona JF members wa sehemu mbali mbali wakienda zaidi ya keyboards zao.......
Na ninawahakikishia mtaweza na mtafanikisha yale yote yaliyo malengo yenu.....
Pamoja sana.....
Ukiwa na ID nyingi uwe na kumbukumbu ona sasa mia amekuwa Eiyer na alibisha ha ha ha ha umekamatika leo
......aije alole....!!!Waitu ndatwela amwalwa ebishusi ekumi(10),ebittoke ekimu(10) ne ntukuru ekumi(10)
OMWANA ASHWELWE..HAYANGA OMBUMMO?........
......aije alole....!!!
Kyonka mwami kiki kweyeta 'enyenje' bojo?
Hongera sana Kuberwa.......na hongereni sana wana Kagera kwa kufuata mfano wa Jf HQ (A-Town) na JF Wing (Dar) kwa kuwa wamoja....
Ni jambo la furaha kuona JF members wa sehemu mbali mbali wakienda zaidi ya keyboards zao.......
Na ninawahakikishia mtaweza na mtafanikisha yale yote yaliyo malengo yenu.....
Pamoja sana.....
Pretta Dar ni tawi? Any how all the best Kuberwa !
Ati umesemaje??? JF Dar ni nini tena...tema mate chini...:lol:ongea polepole......hiyo ni siri nimekunong'oneza hata wenyewe hawajui.......
Hahaa egiyo ndagiteile ubwisiki bwa kulinya mbwenda ekilima nka ki