Mwana JF aitwaye Kuberwa kuolewa

Kuberwa kila la kheri katika maandalizi na ndoa Pia.
Mwenyezi Mungu akubarikini iwe ndo ya amani na upendo wa dhati!

Pamoja Saana.

AshaDii.
 
jamani karibuni! Harusi ni kesho hapa Kamachumu. Nashukuru kwa pongezi zenu za dhati na support, Mwenyezi awabariki nyote. Munyegere na ababuhaya
 
Back
Top Bottom