Mwana JF aitwaye Kuberwa kuolewa

Hapana mkuu, hata si member hapa! hope atajiunga akiwaona wanajamii siku hiyo! kwani atafahamu its more than internet. Thanks in advance kwa udadisi!
 
nashukuru mkuu the boss, ntafurahi kukuona hiyo siku. Lol... Nikiiona hii sura lazima niinuke high table na kuja kukupa mkono aisee
 
Hongera sana Kuberwa.......na hongereni sana wana Kagera kwa kufuata mfano wa Jf HQ (A-Town) na JF Wing (Dar) kwa kuwa wamoja....
Ni jambo la furaha kuona JF members wa sehemu mbali mbali wakienda zaidi ya keyboards zao.......
Na ninawahakikishia mtaweza na mtafanikisha yale yote yaliyo malengo yenu.....
Pamoja sana.....

napenda kuona jf ikiwa kitu kimoja. hapana kutugawa kikanda. jf ni jf. mia
 
dada dena umedanganya umma. kama huamini mwambie invisible aziunganishe ibaki figganigga tu kama watu hawajaandamana humu. mambo dena? buberwa anaolewa, umejiandaaje?. Mia


Ona sasa mpaka unakosea hata kuandika kwasababu umekamatika ha ha ha ha unalo hilo nishakushitukia
 
dada dena umedanganya umma. kama huamini mwambie invisible aziunganishe ibaki figganigga tu kama watu hawajaandamana humu. mambo dena? buberwa anaolewa, umejiandaaje?. Mia


Soma hapa chini....................................

Aisee mzee wa Mia umenikumbusha mbali


Ha ha ha ha nani kaulizwa hili swali??? Halafu angalia nani kajibu hapa chini??? He he hehe heeeeiiiiiyyaaaa unalo hilo

Aaah mkuu mbona nishafanya mchakato huo?Mia!
 
Mi hizo nywele tu..lov it!hongera mummy,.mtangulize Mungu katika kila jambo,.mpende,mheshimu mumeo!.
 
Ona sasa mpaka unakosea hata kuandika kwasababu umekamatika ha ha ha ha unalo hilo nishakushitukia

dada dena, wewe unanisingizia bure. unanitungia uongo. kama vipi tumuunge mkono buberwa. mimi napenda kuhudhuria harusi kuliko chochote. mia
 
Hongera sana Kuberwa.......na hongereni sana wana Kagera kwa kufuata mfano wa Jf HQ (A-Town) na JF Wing (Dar) kwa kuwa wamoja....
Ni jambo la furaha kuona JF members wa sehemu mbali mbali wakienda zaidi ya keyboards zao.......
Na ninawahakikishia mtaweza na mtafanikisha yale yote yaliyo malengo yenu.....
Pamoja sana.....

Bora hata mi nlikimbilia A town bana! Yaani JF Kilimanjaro wako kibao ila ndo ivo hakunaga bana wanaothubutu kujitokeza. Kwani kunani waogope hivyo? AAAaahhhhhhhhhhhhh. Asee mi ni member huko AR. Paka Jimmy wapi wewe?
 
Back
Top Bottom