Hongera sana Kuberwa.......na hongereni sana wana Kagera kwa kufuata mfano wa Jf HQ (A-Town) na JF Wing (Dar) kwa kuwa wamoja....
Ni jambo la furaha kuona JF members wa sehemu mbali mbali wakienda zaidi ya keyboards zao.......
Na ninawahakikishia mtaweza na mtafanikisha yale yote yaliyo malengo yenu.....
Pamoja sana.....
dada dena umedanganya umma. kama huamini mwambie invisible aziunganishe ibaki figganigga tu kama watu hawajaandamana humu. mambo dena? buberwa anaolewa, umejiandaaje?. Mia
dada dena umedanganya umma. kama huamini mwambie invisible aziunganishe ibaki figganigga tu kama watu hawajaandamana humu. mambo dena? buberwa anaolewa, umejiandaaje?. Mia
Aisee mzee wa Mia umenikumbusha mbali
Aaah mkuu mbona nishafanya mchakato huo?Mia!
Jibuni swali nyie wahaya ..huyo mchumba ake kamuokotea jf??
waitu otagila mwaga, ekiliibwa nikyo kilikwija ukola ekeki! Ogobeho oyelebese Ta nitonye onyegerege muno munonga!Kuberwa ni nkubaza nti nimwija kuchumba nebilibwa? Nyewe ombugenyi nyende ebilibwa
figaniga mulaija kupulilaki? waitu ogobeho
Ona sasa mpaka unakosea hata kuandika kwasababu umekamatika ha ha ha ha unalo hilo nishakushitukia
Ati umesemaje??? JF Dar ni nini tena...tema mate chini...:lol:
Hongera sana Kuberwa.......na hongereni sana wana Kagera kwa kufuata mfano wa Jf HQ (A-Town) na JF Wing (Dar) kwa kuwa wamoja....
Ni jambo la furaha kuona JF members wa sehemu mbali mbali wakienda zaidi ya keyboards zao.......
Na ninawahakikishia mtaweza na mtafanikisha yale yote yaliyo malengo yenu.....
Pamoja sana.....
waitu otagila mwaga, ekiliibwa nikyo kilikwija ukola ekeki! Ogobeho oyelebese Ta nitonye onyegerege muno munonga!
Nitafute mkuu nitoe mchango wangu,
Huu ni mwaka wa kudumisha ndoa na mimi ni mjumbe wa kamati ya mambo ya ndoa....
Nitajisikia faraja kutuma mchango wangu hata kama ni kuduchu...!!
all the best kuberwa ,