Ta Muganyizi
R I P
- Oct 19, 2010
- 5,361
- 2,734
- Thread starter
- #21
Rejao contribute basi
Mkuu wewe ni noma,,,,,,,,,,,ekilima = ki giza giza ili wasione aibu
Dada ana u-hair huyu dahhh, nimezitamanije!!!! (ila bible imekataza kutamani so naomba msamaha) hongera zako mwaya, na sie sio siku nyingi kwa neema ya Yesu tutaingia huko soon!!!Tuombeane tusipate watu-viatu
Kama kawaida nobanyamika abishansha
Aliwo okumwamila ekinyira
hongera sana kuberwa.mume ana raha zake na karaha zake.wewe focus kwenye raha.ndoa utaiona tamu
Yashwelwa umuisiki waitu
hahahahaaa...yayanga yashwelwa.tulaija kupulila enanka hadirisha. Mia
Kaka mchango wako muhimu
hahahahaaa...yayanga yashwelwa.tulaija kupulila enanka hadirisha. Mia
Nasikilizia kwanza nione upepo umekaaje. Tupo pamoja mkuuRejao contribute basi
Acheni kuleta lugha za makabila humu.Omwana ashwelwe
Chabo hairuhsiwi. Mia
nasubiri ageuke...namtakia kila la kheri ktk safari ya maisha mapya ya mume na mkeNdugu wanajamvi kama tusikitikavyo tukiondokewa na mwenzetu basi tusherekee pale mwana JF anapopata ubavu. Mwana JF mmoja aitwaye Kuberwa anatarajia kuolewa mapema mwaka huu so siku ya Arusi anataka support kutoka kwa JF members walau walioko karibu..........sasa sisi tulioko huku Kagera........masaka..........kampala.........mwanza. Tukutane tumpe support huyu great thinker hadi mumewe ajue kabisaaaa kuwa hajaoa kilaza. Kuberwa mwenyewe avatar yake hii hapa. Wanaotaka ageuke watamuona live. Nimepewa jukumu hili kama mwanakamati. Siku ya send off yake Kutakuwa na zawadi kutoka kwa JF members.
Kuberwa