Wakuacha
JF-Expert Member
- May 19, 2015
- 2,041
- 1,323
Mademu wazuri au wauza K?Huo ni ujinga sasa mnavo waona wamependeza na kuvutia mnafikiri nani anawahudumia mkifata ushauri wa huyo jamaa mademu wazuri mtaishia kuwaita shemeji!
Kweli wewe wameisha kugeuza zoba..! Kwani hawana mikono eti nani kawapendezesha harakati kila kukicha wanataka haki sawa hiyo siyo haki kujihudumia??Huo ni ujinga sasa mnavo waona wamependeza na kuvutia mnafikiri nani anawahudumia mkifata ushauri wa huyo jamaa mademu wazuri mtaishia kuwaita shemeji!
Umeona eheeh..!Watoto wa kiume mna kelele siku mkiwa "wanaume" mtanyamaza
Songi limeenda school
Kwani sisi hatupendezi,?Huo ni ujinga sasa mnavo waona wamependeza na kuvutia mnafikiri nani anawahudumia mkifata ushauri wa huyo jamaa mademu wazuri mtaishia kuwaita shemeji!
Hata pantoni lina stafu
Watoto wa kiume mna kelele siku mkiwa "wanaume" mtanyamaza
Songi limeenda school