Gedeli
JF-Expert Member
- Mar 16, 2012
- 497
- 222
Labda atakua ni godfather wake!!!
bila kuiondoa CCM madarakani watoto wamasikini tutabaki kuwa wamasikini tu kazi zote serikalini Uwazili, katibu wa wizara uku wa mkoa uku wa wilaya wamepeana wao na wanapokezana kama wafalme wanavyofanya. hata katika mashirika makubwa wamejaa wao tu nenda vodacom utalli, etcetc utajionea mambo