Mwamvita Makamba aula

wadau Mwamvita chini ya md aliyepita, dietlof mare alikuwa na influence kubwa sana ndani ya voda, wengine wanasema ilifikia sasa wakawa na uhusiano wa kimapenzi, mwamvita ndo alikuwa km msemaji mkuu, event organiser, hata wale walioajiriwa kwa kazi hiyo walifunikwa, kuna tetesi za ufisadi vile vile kwamba miss tz ilikuwa ikuwa half ya cost iliyokuwa inatajwa lkn dada alipiga nusu nyingine. Kaja md mpya chini ya maagizo ya Vodafone kaona influence ya dada ni kubwa, wenzetu wana akili sana ili wasiharibu kwa kumtoa pale kavukavu, wanampeleke sauzi huko atajikuta hana hata kazi maalum atakaa kwa period flani baadaye mwenyewe anaweza akasepa akaona hapafai. So hiyo ni njia ya kumuengua kijanja
aiseeeee.......
 
No hating to the second family...first being the Rizimoko's

But for the .......'S sake don't know why the heck our premier, got time to see her before she leaves and someone like Elsie Kanza who is doing us proud , outstanding and distinguished Tanzanians, don't even have 5 seconds of his esteemed attention

Huyu kubadilishwa kituo cha kazi tu tayari kaweza kumuona

Angalau wale CAG auditors waliopangiwa kuaudit UN walioaga kwenda Newyork kuassume their duties ndio angewaaga kwa kuwausia wafanye risk based audit na ethics za kazi, na jinsi ya kulinda heshima tuliyopewa watanzania
 
David Minja, aliyekuwa marketing manager wa TBL amehamia kikazi South Africa mwaka jana, alivyoondoka wala hatukuona mbwembwe za kumuaga PM wala hata mkuu wa mkoa. Hiki alichokifanya Mwanvita kama si ushamba basi ni ulimbukeni
 
jama ndo naamka, Who the H is she, WTF happened, when did t happen, why? And Y the freaking heck is she wearing Green Vegetation??
 
Kaka hakuna cha maana zaidi maana hata Mama yetu Migilo naye karudi kama alivyoenda. Na mlolongo ndo huo, kwani ukienda kufanya kazi africa kusini lazima watu wajue. Watu wanafanya kazi marekani, uswiswi, norway, netherland, sembuse south africa? Huyu mie sioni hasa ananini si bora hata wema sepetu mwigizaji na aliwahi kuwa miss tz. Watu wanamvimbisha kichwa bure tu

Hapana kaka ana sifa hizi ambazo ni adimu, Ana mwanya, ana bwana mzungu, mtoto wa Makamba, dada wa Januari na kama unavyoona hapo ni boss huko vodacom na anahamishiwa SA, nilisahau ni msichana wa kwanza wa Kitanzania asie na mume kujenga hekalu/kasri... ni potential kwa nchi yetu ndio maana kaenda kumuaga Pinda!
 
Hapana kaka ana sifa hizi ambazo ni adimu, Ana mwanya, ana bwana mzungu, mtoto wa Makamba, dada wa Januari na kama unavyoona hapo ni boss huko vodacom na anahamishiwa SA, nilisahau ni msichana wa kwanza wa Kitanzania asie na mume kujenga hekalu/kasri... ni potential kwa nchi yetu ndio maana kaenda kumuaga Pinda!

Kaka kujenga hekalu/kasri mbona yako mengi tu kwa tanzania hii? kuna wanawake wanamiliki mpaka makanisa sembuse yeye? Mi naona tunamkweza tu maana wala hata hakustaili kukwezwa hivyo. Sisi hata akienda kufanya kazi uswisi wala haituhusu tunaangalia impact ya mtu husika kwa jamii ya watanzania. Kama kuwepo kwake voda labda kulituwezesha kupiga simu free basi tungeweza kusema lakini hii ni kawaida tu.
 
huyu dada wamemchomoa Voda for the sake of the company...alikua ana matumizi makubwa sana kwenye hii kampuni..huko south walipomhamishia atajuta kwakweli..am sure hajapenda hata kwenda maana alishazoea kujilalia kwenye kasri lake la bilionz..ukute south kitu cha soweto.......kwenda kuaga kwa PM ni kujibaraguza tu,....si kwamba namuonea wivu la hasha...its ur life n ahainihusu..wazungu wajanja sana
 
Hongera sana!! katuwakilishe vizuri na usiwasahau watanzania wenzako kama panatokea nafasi za kazi ambazo unaona kuna watakao fit. Tatizo la sisi watanzia tunapopata nafasi za kazi nje tunapenda kuonekana kwenye jamii kuwa tunaishi nje hatusaidiani wenyewe kwa wenyewe,wenzetu wa West Africa au Kenya ni wataalam sana kwenye kusaidiana. Jaribu kuangalia idadi yao mf kwenye UN organisations wamejazana kibao.

hapo voda tu alikuwa kimya! tumuombee akawajibike kivyake na familia yao
 
dada hasikikii jamaniii..........huko south hamna internet au??tunaomba feedback maana ulituaga
 
hata Mange humtumii picha za weekend zako humo unavyotumbua na wazulu.............umetuzoesha vibaya dadaa..............tunaomba japo picha
 

Mwamvita alipokwenda kumuaga Waziri Mkuu Mh. Pinda ofisini kwake wiki iliyopita....


"Friends,

On the 1st of September 2012, I will officially start a new wave of my career in Johannesburg South Africa, at Vodacom Group. I have had a great time here at home, learnt a lot and grew tremendously personally and professionally.

Thanks to all of you for the support and encouragement as I went about my daily activities here.

I will continue to keep in touch and keep sharing my various adventures whenever I go and get stories worth sharing with you.
Remember, no matter who you are or where you come from, if you dare to dream, the world is truly your centre stage.

Love,
Mwamvita"

Sasa anamuaga Pinda kama waziri mkuu au rafiki wa baba yake?! Maanake visit za ofisini ni aidha 'official' au 'personal'.
 
tunaomba update tafadhali...kimya mnoo hautujazoea ivyo!! au Rene kamfanyaje mwana wa mwenzie
 
Hiki kiingereza kama huna uhakika na uandikacho andika kiswahili chetu tuu. DULLY=BORINGLY, UNINTERESTINGLY, MONOTONOUSLY....

Kwa hiyo kama ulimaanisha jema, maana yako imepotea katika kudhania utamkacho na kuandikwa ni hivyo hivyo...

Kwa hiyo unamaanisha kuwa yule Dully Sykes anaeimba muziki wa ubongo wa fleva jina lake alifikirie vizuri. Thats true hilo neno halina maana aliyotaka kuitumia mdau wetu kwa hiyo dada..asante kwa kutoa maana yake.
 
tuseme ofisini kwa pinda hamna hata laptop??. mbona ofisi imekaa kilocal sana?. mia
 
Kwa ninavyoona Vodacom watakuwa wamempeleka South Africa ili kuondoa mgongano wa kimaslahi(conflict on interest) kati yake na Naibu Waziri wa Wizara husika ya mawasiliano Tanzania. Kwa hiyo ili kulinda heshima ya kaka yake its better tukamweka kwa mbali ili aweze kutumia remote instead of manual kudili na interest ya kampuni yake.
Hongera sana likini..coz you played smart.
 

Similar Discussions

4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom