Mwamposa: Namshukuru Rais Samia

In fact,
kwamfano gwajiboi,
ni vizur angeacha kwanza ufuska na waamini wake, akaacha kujirekodi video za uzinzi na kuambukiza waamini wake ukimwi akatubu.

hapo hata anaweza kua na heshma ya kuitwa kiongozi wa dini 🐒
Umelewa visungura unaropoka tu.... Hivi wewe lini utakuwa na akili?
 
Mwamposa ni nani?, hii ni mada nyingine. Mwamposa hawazi kuikemea serikali kama gwajima. Akiwazingua tu wanamzingua asubuhi tu , kwa hiyo lazima asifie, awe chawa wa kudumu
 
Amepewa mazima Tanganyika Packers ???

Kama ni eneo lingine binafsi kanunua sokoni anashukuru kwa nini ??
 
Tangu audanganye umma kuhusu simba kutwaa kombe la shirikisho Sina hamu naye najua naye ni mbahatishaji tu
 
Kabisa
Mwamposa ni nani?, hii ni mada nyingine. Mwamposa hawazi kuikemea serikali kama gwajima. Akiwazingua tu wanamzingua asubuhi tu , kwa hiyo lazima asifie, awe chawa wa kudumu

#Uchawalism
 
Badala ya kumshukuru MUNGU anamshukuru Samia sijui huu upumbavu utaisha lini,sasa kwa ujinga huo kwa nini msifungiwe makanisa ya upuuzi kama ya akina Mwamposa.Tusome pia biblia kitabu cha Yeremia 17:5-7 MUNGU amesema amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu kuwa Kinga yake.katika hali tuliyonayo ww mchungaji unaenda kwenye media unamshukuru Samia kwa kitu Gani kama ww sio poyoyo na kilaza au ww di tu.Yaani huduma zenu za kikristo zinafungiwa ww unaenda kumshukuru Samia,kweli Mwamposa Hana Akili kama wanaomfuata.
 
Umeongea point
Nakusupport
 
Lazima amshukuru kwakuwa mtumishi mpiga dili.Hata utekaji na uminywaji wa haki hapanuwi domo lake.
 
Mwamposa akipongeza serikali sio siasa, Gwajima akikemea utekaji ameingiza siasa kwenye dini
 
nimemkumbuka sana mzee wangu wa mitulinga MH. Joseph Haule the heavy weight MC shupavu, na shairi lake la:-
mtumikie KAFIRI ili CHART yako IPANDE.
 
Mungu aendelee kumbariki Mtumishi huyu; nabarikiwa naye sana!
 
Pozi ya anayemuhoji Apostle ni ya kijeuri....! Anamkunjia nne Apostle na Apostle kawa mnyenyekevu bila kukemea. Sijapenda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…