Mwambieni Mbowe Wenye Uchu Wa Madaraka Ndo Wanaota Kuchaguliwa Tena.

TataMadiba

JF-Expert Member
Feb 7, 2014
9,866
5,742
Nimemsikia Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Aikaeli Mbowe akibwatuka kuwa Magufuli akichaguliwa tena 2020 ataachana na siasa.

BAVICHA na wapambe wa Mbowe nendeni mumwambie Magufuli siyo wa aina ya viongozi anawaowafikiria wanaolala wakiota kuchaguliwa awamu nyingine badala ya kuwatumikia wananchi.

Ni ndoto hizi hizi za madaraka ndizo zinazopelekea viongozi kufunika funika mambo, kuachia uchafu ndani ya serikali, kuwabembeleza wauza unga, wala rushwa, mafisadi na kila aina ya wahujihumu uchumi kwa kutegemea wawabebe kwenye uchaguzi unaofuata. Magufuli siyo wa hivyo, kwake mbichi ni mbichi na mbivu ni mbivu.

Kiongozi aina ya Magufuli ndiyo tuliyemsubiri siku nyingi . Ananchokifanya Magufuli ni kujitoa mhanga, wananchi wakimuelewa Taifa lisonge mbele na wasipomuelewa basi waangukie mikononi mwa wenye uchu wa madaraka kama akina Mbowe na wawarudishe walikolilia kutoka.

Onyo: Mbowe mzee wa matamko bila kutekeleza, jiandae kuachana na siasa maana watanzania wengi walishamuelewa Magufuli. Kelele za Mawakala wa wauza Unga, wala rushwa na Mafisadi hazitamzuia Magufuli kuinyoosha nchi, hizo ni kelele sawa na zile za chura zisizoweza kumzuia ng'ombe kunywa maji.
 
Nimemsikia Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Aikaeli Mbowe akibwatuka kuwa Magufuli akichaguliwa tena 2020 ataachana na siasa.
BAVICHA na wapambe wa Mbowe nendeni mumwambie Magufuli siyo wa aina ya viongozi anawaowafikiria wanaolala wakiota kuchaguliwa awamu nyingine badala ya kuwatumikia wananchi.
Ni ndoto hizi hizi za madaraka ndizo zinazopelekea viongozi kufunika funika mambo, kuachia uchafu ndani ya serikali, kuwabembeleza wauza unga, wala rushwa, mafisadi na kila aina ya wahujihumu uchumi kwa kutegemea wawabebe kwenye uchaguzi unaofuata. Magufuli siyo wa hivyo, kwake mbichi ni mbichi na mbivu ni mbivu
Kiongozi aina ya Magufuli ndiyo tuliyemsubiri siku nyingi . Ananchokifanya Magufuli ni kujitoa mhanga, wananchi wakimuelewa Taifa lisonge mbele na wasipomuelewa basi waangukie mikononi mwa wenye uchu wa madaraka kama akina Mbowe na wawarudishe walikolilia kutoka.

Onyo: Mbowe mzee wa matamko bila kutekeleza, jiandae kuachana na siasa maana watanzania wengi walishamuelewa Magufuli. Kelele za Mawakala wa wauza Unga, wala rushwa na Mafisadi hazitamzuia Magufuli kuinyoosha nchi, hizo ni kelele sawa na zile za chura zisizoweza kumzuia ng'ombe kunywa maji.
Hamna tofauti na mbwa wa jalalani waobadilika kulingana na jalala liko wapi....
 
Sidhan kama utapata majibu...hii JF ni ya chadema
Hahahaaa. Naamini wamo na wanasoma , wamfkishie ujumbe DJ wao. Kama yeye anaota uchaguzi 2020, Magufuli yeye yuko bize na kupamabana na wauza unga, mafisadi na wala rushwa
 
Nimemsikia Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Aikaeli Mbowe akibwatuka kuwa Magufuli akichaguliwa tena 2020 ataachana na siasa.
BAVICHA na wapambe wa Mbowe nendeni mumwambie Magufuli siyo wa aina ya viongozi anawaowafikiria wanaolala wakiota kuchaguliwa awamu nyingine badala ya kuwatumikia wananchi.
Ni ndoto hizi hizi za madaraka ndizo zinazopelekea viongozi kufunika funika mambo, kuachia uchafu ndani ya serikali, kuwabembeleza wauza unga, wala rushwa, mafisadi na kila aina ya wahujihumu uchumi kwa kutegemea wawabebe kwenye uchaguzi unaofuata. Magufuli siyo wa hivyo, kwake mbichi ni mbichi na mbivu ni mbivu
Kiongozi aina ya Magufuli ndiyo tuliyemsubiri siku nyingi . Ananchokifanya Magufuli ni kujitoa mhanga, wananchi wakimuelewa Taifa lisonge mbele na wasipomuelewa basi waangukie mikononi mwa wenye uchu wa madaraka kama akina Mbowe na wawarudishe walikolilia kutoka.

Onyo: Mbowe mzee wa matamko bila kutekeleza, jiandae kuachana na siasa maana watanzania wengi walishamuelewa Magufuli. Kelele za Mawakala wa wauza Unga, wala rushwa na Mafisadi hazitamzuia Magufuli kuinyoosha nchi, hizo ni kelele sawa na zile za chura zisizoweza kumzuia ng'ombe kunywa maji.
nimesahau hivi kweli ilisomea wapi?
Ninachojua watu kama wewe ndo mmefanya Yesu akatae kurudi duniani, maana akirudi huenda akajinyonga akikutana na watu kama wewe
 
Nimemsikia Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Aikaeli Mbowe akibwatuka kuwa Magufuli akichaguliwa tena 2020 ataachana na siasa.
BAVICHA na wapambe wa Mbowe nendeni mumwambie Magufuli siyo wa aina ya viongozi anawaowafikiria wanaolala wakiota kuchaguliwa awamu nyingine badala ya kuwatumikia wananchi.
Ni ndoto hizi hizi za madaraka ndizo zinazopelekea viongozi kufunika funika mambo, kuachia uchafu ndani ya serikali, kuwabembeleza wauza unga, wala rushwa, mafisadi na kila aina ya wahujihumu uchumi kwa kutegemea wawabebe kwenye uchaguzi unaofuata. Magufuli siyo wa hivyo, kwake mbichi ni mbichi na mbivu ni mbivu
Kiongozi aina ya Magufuli ndiyo tuliyemsubiri siku nyingi . Ananchokifanya Magufuli ni kujitoa mhanga, wananchi wakimuelewa Taifa lisonge mbele na wasipomuelewa basi waangukie mikononi mwa wenye uchu wa madaraka kama akina Mbowe na wawarudishe walikolilia kutoka.

Onyo: Mbowe mzee wa matamko bila kutekeleza, jiandae kuachana na siasa maana watanzania wengi walishamuelewa Magufuli. Kelele za Mawakala wa wauza Unga, wala rushwa na Mafisadi hazitamzuia Magufuli kuinyoosha nchi, hizo ni kelele sawa na zile za chura zisizoweza kumzuia ng'ombe kunywa maji.
Nami nakazia hasa kwenye ONYO.
Alafu hivi kuna viumbe hai bado vyamuamini kamanda wa anga?? Ang'atuke uenyekiti mbowe?? Over my dead body!
 
Nimemsikia Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Aikaeli Mbowe akibwatuka kuwa Magufuli akichaguliwa tena 2020 ataachana na siasa.
BAVICHA na wapambe wa Mbowe nendeni mumwambie Magufuli siyo wa aina ya viongozi anawaowafikiria wanaolala wakiota kuchaguliwa awamu nyingine badala ya kuwatumikia wananchi.
Ni ndoto hizi hizi za madaraka ndizo zinazopelekea viongozi kufunika funika mambo, kuachia uchafu ndani ya serikali, kuwabembeleza wauza unga, wala rushwa, mafisadi na kila aina ya wahujihumu uchumi kwa kutegemea wawabebe kwenye uchaguzi unaofuata. Magufuli siyo wa hivyo, kwake mbichi ni mbichi na mbivu ni mbivu
Kiongozi aina ya Magufuli ndiyo tuliyemsubiri siku nyingi . Ananchokifanya Magufuli ni kujitoa mhanga, wananchi wakimuelewa Taifa lisonge mbele na wasipomuelewa basi waangukie mikononi mwa wenye uchu wa madaraka kama akina Mbowe na wawarudishe walikolilia kutoka.

Onyo: Mbowe mzee wa matamko bila kutekeleza, jiandae kuachana na siasa maana watanzania wengi walishamuelewa Magufuli. Kelele za Mawakala wa wauza Unga, wala rushwa na Mafisadi hazitamzuia Magufuli kuinyoosha nchi, hizo ni kelele sawa na zile za chura zisizoweza kumzuia ng'ombe kunywa maji.
JPM akishinda tena Urais 2020 kwa aina hii ya utawala nitahamia sayari nyingie, Labda CCM wasome alama za nyakati waweke mtu mzuri.
Akina Kinana wanalia,Nape analia, CCM wengi wanapiga mayowe khaa! Eti wananchi wameshamwelewa!! Nenda zako kafie mbele huko wewe hauko Tz.
 
Nimemsikia Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Aikaeli Mbowe akibwatuka kuwa Magufuli akichaguliwa tena 2020 ataachana na siasa.
BAVICHA na wapambe wa Mbowe nendeni mumwambie Magufuli siyo wa aina ya viongozi anawaowafikiria wanaolala wakiota kuchaguliwa awamu nyingine badala ya kuwatumikia wananchi.
Ni ndoto hizi hizi za madaraka ndizo zinazopelekea viongozi kufunika funika mambo, kuachia uchafu ndani ya serikali, kuwabembeleza wauza unga, wala rushwa, mafisadi na kila aina ya wahujihumu uchumi kwa kutegemea wawabebe kwenye uchaguzi unaofuata. Magufuli siyo wa hivyo, kwake mbichi ni mbichi na mbivu ni mbivu
Kiongozi aina ya Magufuli ndiyo tuliyemsubiri siku nyingi . Ananchokifanya Magufuli ni kujitoa mhanga, wananchi wakimuelewa Taifa lisonge mbele na wasipomuelewa basi waangukie mikononi mwa wenye uchu wa madaraka kama akina Mbowe na wawarudishe walikolilia kutoka.

Onyo: Mbowe mzee wa matamko bila kutekeleza, jiandae kuachana na siasa maana watanzania wengi walishamuelewa Magufuli. Kelele za Mawakala wa wauza Unga, wala rushwa na Mafisadi hazitamzuia Magufuli kuinyoosha nchi, hizo ni kelele sawa na zile za chura zisizoweza kumzuia ng'ombe kunywa maji.

Mafisadi na wauza unga ndiyo wapambe wakubwa na wafadhili wa Mkuu wako wa Mkoa.
 
Back
Top Bottom