gango2
JF-Expert Member
- Aug 31, 2011
- 1,941
- 2,251
Wadau,
Hapa ni mahala pa kufunguka, sema neno lolote kumwambia yule ambae umekuwa ukimpenda saana lakini umeshindwa kumwambia kwa namna yoyote, au ulishamwambia lakini akakutolea nje. Either kazini, kitaa, ofisini au hata hapa.
Maliza hapa! labda atapita siku atakuja kuona ujumbe wako, vema ukataja na jina lake.
Hapa ni mahala pa kufunguka, sema neno lolote kumwambia yule ambae umekuwa ukimpenda saana lakini umeshindwa kumwambia kwa namna yoyote, au ulishamwambia lakini akakutolea nje. Either kazini, kitaa, ofisini au hata hapa.
Maliza hapa! labda atapita siku atakuja kuona ujumbe wako, vema ukataja na jina lake.