my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,016
- 2,402
Mwalimu wangu wa kemia anitaka kimapenzi ameniambia atanioa kama nakikubali. Nimemkatalia alitaka kunibaka ofisini. nikakimbia. Naogopa kumwambia mama mkali sana sina urafiki nae kabisa.
Mwalimu amenisingizia kosa nimepewa barua nimwite mzazi, mpaka sasa sijampa mama najua nikimpa akienda shule itakua balaa maana na yeye atanikandia sana kwa walimu na wanafunzi wenzangu wakati mimi sina makosa.
Nifanye nini?
Mwalimu amenisingizia kosa nimepewa barua nimwite mzazi, mpaka sasa sijampa mama najua nikimpa akienda shule itakua balaa maana na yeye atanikandia sana kwa walimu na wanafunzi wenzangu wakati mimi sina makosa.
Nifanye nini?