ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 19,720
- 28,276
Unaweza ukajibu mapigo kwa mtu aliyetangulia kukushambulia......Mkuu; kifungu gani cha Sheria ya Tz. kinaruhusu? Wee bhana we!! Anagalia Hasira Hasara. Huyo jamaa Kesha kamatwa - Huenda ataonesha uhalali wa kupiga.
ndio maana nawasisitiza sikilizeni upande wa pili kwanza...