Kirumberumbe
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 982
- 1,158
Mkuu, umeuliza "hivi wanaume mnawezaje kupiga wanawake" ww unashauri tuwafanyeje?Huyu mwalimu mkuu amekaa kiukorofi kama jina lake lenyewe, hivi wanaume mnawezaje kupiga wanawake
Mkuu, umeuliza "hivi wanaume mnawezaje kupiga wanawake" ww unashauri tuwafanyeje?Huyu mwalimu mkuu amekaa kiukorofi kama jina lake lenyewe, hivi wanaume mnawezaje kupiga wanawake
Mkuu, umeuliza "hivi wanaume mnawezaje kupiga wanawake" ww unashauri tuwafanyeje?
Sioni sababu ya kuwapiga wanawake halafu unakunja ngumi kabisa, pigana na mwanaume mwenzio au kafanye professional boxing kamtandike kiduku au dulla, mnajifedhesha kuwapiga wanawake ni vile hamjui tuMkuu, umeuliza "hivi wanaume mnawezaje kupiga wanawake" ww unashauri tuwafanyeje?
Wengi wetu Tunajua ila sasa kwa upande wa Wanawake wanautumia Udhaifu wao (kama kweli ni udhaifu) au Uanawake wao kama fimbo ya kuwachapia Wanaume.Sioni sababu ya kuwapiga wanawake halafu unakunja ngumi kabisa, pigana na mwanaume mwenzio au kafanye professional boxing kamtandike kiduku au dulla, mnajifedhesha kuwapiga wanawake ni vile hamjui tu
Hasira imetimia;Mwl mkuu anaitwa Hasira, imeisha hiyo
Chama cha walimu Tanzania kipo kipo tu. mambo kama haya ndio walipaswa kuyafanyia kazi. Hii ni aibu kwa cases za walimu kupaziwa sauti na taasisi/watu binafsi wakati wanachombo chao ya kucheki accountability ya wanachama wake.Mwalimu kajishonea kanga zake kwa Fundi Maiko halafu anamharibu reception.
Sijawahi kujua faida ya CWT au ile Sijui Teachers nini.
.. Natambua hilo kaka mwanzo nilikua sijui namna ya kuwadhibiti wanawake wenye mdomo na pia ambae anautumie kuegemea udhaifu huo kuwa mwanamke apigwi, nilishadhibiti mmoja kwa hivyo nikamtoa alama sana nikajajijua sio sahihi sana kuwafanyia hivyo na kujuta sana tangu siku hiyo miaka miwili sasa, nikiona anaongea sana au amenikosea nitamtfuta wakati na amani ya moyo nimuelimisheWengi wetu Tunajua ila sasa kwa upande wa Wanawake wanautumia Udhaifu wao (kama kweli ni udhaifu) au Uanawake wao kama fimbo ya kuwachapia Wanaume.
Mnashindwa kuripoti polisi mnaripoti kwa askofu, sio sawa labda mnataka awaombee
Je, ikiwa kwa mfano wa huyu Mwl. aliyepigwa sio mke wako utampatia wapi na kadri muda unavoenda yy ndo anazidisha maudhi.?.. Natambua hilo kaka mwanzo nilikua sijui namna ya kuwadhibiti wanawake wenye mdomo na pia ambae anautumie kuegemea udhaifu huo kuwa mwanamke apigwi, nilishadhibiti mmoja kwa hivyo nikamtoa alama sana nikajajijua sio sahihi sana kuwafanyia hivyo na kujuta sana tangu siku hiyo miaka miwili sasa, nikiona anaongea sana au amenikosea nitamtfuta wakati na amani ya moyo nimuelimishe
NotedPole kwa mwalimu Witness
Kumpiga mwenzio haikubaliki hata awe mke wa ndoa, vyovyote vile itakavyokuwa.
Lakini tuelezeni ikiwa mwalimu mkuu sio kichaa kwanini aliamua kumpiga Witness na sio kumpiga mwalimu mwingine?
Hujawahi kufuatiliwa mpaka unashindwa kuzuia hasira unaweza kuta ameshamueleza Mara nyingi tu acha kumfuatilia mitikasi Zangu mtoto wa kike hasikii so unajua wanawake wanakua na visiraniHata Kama upande wa pili utasikilizwa,mwalimu Hasira amekosea kumpiga mwalimu mwenzake,Ni kosa kwa mtumishi wa umma kupiga au kupigana.
....Pia mbona walimu wenzake hawakutoa msaada? n.k.n.k .. yapo maswali mengi ya kujiuliza na pengine yasipatikane majibu yake. Lakini yooote hayo na mengine meeengi ...bado hayajafikia kuhalalisha mwl.Witness kupigwa na kuumizwa hivyo.Kama hapo shuleni Kuna walimu wengi tu swali la kujiuliza kwanini apigwe Mwl witnes tu?
Kama mwalimu huyu unampeleka kwenye kamati au ngazi tofauti za kufikisha malalamiko lakini sio kumpiga, unajua nchi kama UK ukimgusa mwanamke kwa kumpiga sheria ni kali unawekwa ndaniJe, ikiwa kwa mfano wa huyu Mwl. aliyepigwa sio mke wako utampatia wapi na kadri muda unavoenda yy ndo anazidisha maudhi.?
Mm nafikiri ni bora tu kusamehe na endapo ikitokea shida iliyokithiri unatafuta njia bora zaidi ya kumfikishia ujumbe badala ya mkong'oto. Nadhani huyo Mwl. Hasira kwa ss anajilaumu kwa alichokifanya esp. akitafakari kwa kina nini hatima ya kitendo hicho na mustakabali wa kibarua chake.
Nakubaliana na ww kwamba Kama ni jambo la kikazi, kijamii unaweza kumpeleka kwenye kamati au malalamiko yako Ngazi tofauti. Shida inakuwa ni pale Kero iliyopo baina yenu ni ya Siri e.g. Hoja ya Mapenzi kazini au amebaini Siri zako na ww unahofia atazitoa kwani ana kidomo-domo sana (Hana kifua) au anakuchafulia mishe zako - hayo hutakuwa na msingi wa kuyapeleka mbele.Kama mwalimu huyu unampeleka kwenye kamati au ngazi tofauti za kufikisha malalamiko lakini sio kumpiga, unajua nchi kama UK ukimgusa mwanamke kwa kumpiga sheria ni kali unawekwa ndani
Na anaonekana anakula Ela za wanaume Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app