Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,304
- 29,837
Haya walimu, Kazi mnayo , Kwa mujibu wa tume ya utumishi WA walimu inasema mwalimu yupo huru kuwa Chama chochote cha upinzani Sasa hili poyoyo sijui hizi kauli linaziokota Wapi
Sio mwalimu tu,Kwa tz mrumishi yoyote wa sirikali Iko Ivo,OVER.Hio kauli ni mbaya sana kwa ustawi wa demokrasia nchini,
Ila ndio ukweli, Mwalimu ukiwa upinzani wakikubaini utakiona cha moto
Umeambiwa mwalimuuuu, Wapi apo kataja mtumishi yoyote.Sio mwalimu tu,Kwa tz mrumishi yoyote wa sirikali Iko Ivo,OVER.
Kwanza Wa aliim ni watumishi wa wa Tanzania na sio kikundi cha propaganda cha Chama chochote Kile cha siasa katika nchi hii! Kwa kauli hii basi natupoteze Imani na serikali juu ya muhukatabali wa watoto wetu!!??Haya walimu, Kazi mnayo , Kwa mujibu wa tume ya utumishi WA walimu inasema mwalimu yupo huru kuwa Chama chochote cha upinzani Sasa hili poyoyo sijui hizi kauli linaziokota Wapi View attachment 2800331
ONLY IN TANZANIAHaya walimu, Kazi mnayo , Kwa mujibu wa tume ya utumishi WA walimu inasema mwalimu yupo huru kuwa Chama chochote cha upinzani Sasa hili poyoyo sijui hizi kauli linaziokota Wapi View attachment 2800331
ccm haitaki upinzani ndo maana akina mdude wanatekwa kila siku, akina Roma wamekimbia nchiSio mwalimu tu,Kwa tz mrumishi yoyote wa sirikali Iko Ivo,OVER.
kweli kabisaKuongea ukweli ninkitu muhim sana. Huyy kaongea wanachowafanyiaga walimu
Hii ipo sanaa, wala sio uongooo.Kuna vitoto vya kike vya shule ni vishenzi sana, hutumiwa kuzusha kashafa za ngono kwa walimu wa kiume wenye upinzani. Walimu wapika kashfa huchagua wanafunzi walionona, wamejaziajazia matiti na matako ambao wako vizuri kubeba mtu mzima wasingizie kuwa mwalimu fulani huwatongoza na kuwashikashika matiti na matako na hulala nao. Watoto hao hupangwa kufanya hujuma kwa mwalimu mpinzani. School baraza huitishwa kwa dharura na wanafunzi hupewa wasaa wa kusema kero zao. Hao walipangwa huinua kidole na kupewa ruhusa ya kesema kero yake. Atasema mwalimu fulani humfanyia vitendo vya ngono, na mwingine huja na hoja ya ngono mpaka wafikie saba au zaidi na wote kero yao ni ngono tu. Mwalimu huchafuliwa na kuishia kushangaa kitendo ambacho hakufanya
Hii ipo sanaa, wala sio uongooo.
Kweliii tenaa.Weee
Kweliii tenaa.