Mwalimu Mkuu amnyonga mtoto wake na kisha kujinyonga

Mwalimu Mkuu amnyonga mtoto wake na kisha kujinyonga

Marehemu kachemsha kumunyonga mwanae, wakunyongwa alikuwa ni mkewe na kisha ndio ajinyonge yeye
 
Sasa nimeelewa kwa nini kule Ngara-Kagera jamii ya kabila la Wahangaza wanapiga viboko na fimbo za kufa mtu kwa mtu aliyejinyonga!
Upuuzi ulioje kwa mwalim huyo,bora tu maiti yake ipigwe mpaka ikome.
 
Mwalimu mkuu wa shule ya msingi Mnaida ndugu Lucas iliyoko wilaya ya Newala mkoani mtwara amejinyonga hadi kufa..
Inasemekana kabla ya kujinyonga yeye alimnyonya kwanza mwanae wa kiume anaesoma drs la tano alafu akajimaliza yeye...
chanzo cha kufanya hivyo ni wivu wa mapenzi...

miaka ya nyuma kidogo mwalimu huyo alimpa mimba binti aliekuwa mwanafunzi ambae alimzalia mtt huyo.. baada ya kitendo hicho alimrudisha binti huyo shule akamsomesha yeye kuanzia form one hadi chuo.. baadae mke wake huyo alipata kazi kama askari upelelezi.. hapo ndo matatizo yalipoanzia...
mwanamke alianza visa vya kumjengea mazingira ya kuachana nae, ikafika mahali kwa wenzake anamtambulisha kama kaka yake ili asijulikane kama ni mke wa mtu... mbaya zaidi mke wake huyo alianza kumdai jamaa aseme ni kiasi gani cha fedha alizitumia kwa ajili yake ili amplipe..
ndipo mwalimu huyo alipofikia uamuzi wa kujinyonga
sababu za kumnyonga na mtt kwa taarifa za watu wa pembeni ni kujenga mazingira ya kumuumiza mke wake huyo kwani kifo chake kisingeweza kumgusa kabisa huyo mke wake...

Inauma sana ila there is no way, kila dada kwa nini mnakuwa vyanzo vya matatizo? hapa simaanishi wote ila asilimia kubwa yenu huwa mkiwa na maisha duni mnakuwa wanyonge ila wanaume zenu wakijitolea mkafikishwa mlipokuwa mnapataka mnakuwa miiba..

serious imeniuma.. bt SINA MAANA KUWA WANAUME NI WAZURI AU WANAOFANYA HIVI NI WANAWAKE WOTE... BT MOST OF WOMEN MNABADILIKA SANA.
 
jamani...inabidi na wanaume tuache hizi huruma za kusomesha wanawake...wacha wajisomeshe wenyewe na wazazi wao sisi tuchukue kitu kilichokuwa tayari!
 
Khaa!! kudadadeki kama shushushu huyo alikuwa anajiachia kwa kujificha sasa atajiachia full. Akili zingine bana hivi hatujui hata thamani ya maisha yetu???? Angechukua mshiko wake au angeachana naye kiume tu. Mbona madem wako kibao bana!!!!
 
Hakuna hata Mimi imeniuma Sana jamani, huyo binti maisha yake hapa duniani sidhani kama atakuwa na amani tena katika moyo wake, Bwana Ailaze roho yako mahali Pema peponi kijana
 
Katika mambo ambayo sitokuja kuthubutu ni kumsomesha mchumba,rafiki,mke kwani asilimia kubwa waliofanya hivyo cha moto wamekipata
Tumekutana kwenye mihangaiko tutaachana kwenye mihangaiko......ni msimamo wangu mimi kama mimi na si lazima kuufuata
 
Hivi kwanini wanaume tupo hivi.............nadhani kuna haja ya kujifunza kupitia haya matukio
 
Mi maoni yangu ni kuwa huyo mwanamke hakuwa na mapenzi na mumewe bali alilazimika kuolewa naye baada ya kutiwa mimba na kusomeshwa. Ushauri kwa wanaume ni kuwa msiwarubuni mabinti wadogo wanaosoma kwani kwa kipindi hicho akili zao zinakuwa bado hazijapevuka vya kutosha kufanya maamuzi sahihi ndio maana mara tu wanapokuwa wamekua na kupevuka akili wanagundua kuwa huyo mwanaume hakuwa chaguo.
 
Sasa nimeelewa kwa nini kule Ngara-Kagera jamii ya kabila la Wahangaza wanapiga viboko na fimbo za kufa mtu kwa mtu aliyejinyonga!
Upuuzi ulioje kwa mwalim huyo,bora tu maiti yake ipigwe mpaka ikome.

You are corect, alafu kwa nini unyonge mtoto asiye na hatia kwa kosa mama yake? Ivi unamnyonga kbsaa mwanao angali anakuangalia,anakulilia !
C ungejinyonga tu mwenyewe tena tungekupongeza. Mi nafikiri huyu hakuwa mwalimu mkuu bali alikuwa mwalimu kuukuu
 
kweli binadamu tumetofautina katika kutatua matatizo! kifo cha mtoto aliyenyongwa ndo kimenisikitisha.Mwalimu kajitakia mwenyewe
 
Siwezi kuitoa roho yangu kwa sababu zozote zile, nitasubiri siku ambayo.Mungu ameikusudia, na yeyote atayetaka sumbua maisha yangu au kutumia nguvu zake za kipesa, kiroho au ki whatever kusababisha kifo changu au kuniua basi atakiona.
 
Mlishaambiwa msisomeshe wapenzi (Girlfriends) bali msomeshe wake ninyi hamtaki.
 
jamaa alimsomesha binti mpaka akapata kazi,baadae akazaa nae mtoto huyo ila baada ya muda jamaa akazidiwa na wenyenazo akatemwa,

mapenzi kizunguzungu. eti sema bei gani unanidai nikurudishie? duuu, hatari.
 
Sasa nimeelewa kwa nini kule Ngara-Kagera jamii ya kabila la Wahangaza wanapiga viboko na fimbo za kufa mtu kwa mtu aliyejinyonga!
Upuuzi ulioje kwa mwalim huyo,bora tu maiti yake ipigwe mpaka ikome.

baadhi ya madhehebu hawaziki watu waliojinyonga.
 
Mi maoni yangu ni kuwa huyo mwanamke hakuwa na mapenzi na mumewe bali alilazimika kuolewa naye baada ya kutiwa mimba na kusomeshwa. Ushauri kwa wanaume ni kuwa msiwarubuni mabinti wadogo wanaosoma kwani kwa kipindi hicho akili zao zinakuwa bado hazijapevuka vya kutosha kufanya maamuzi sahihi ndio maana mara tu wanapokuwa wamekua na kupevuka akili wanagundua kuwa huyo mwanaume hakuwa chaguo.
jeuri ya elimu aliyopewa na mkuu wa shule.
 
Sahihi kabisa

aiseee inauma sana, nilithamini maisha yako, na bodaboda nilijua kosa langu, nikaamua kukusomesha ili tusaidiane maisha , inakuwaje leo uniulize ni ni sh.ngapi umetumia? kama sio matusi ni nn?
 
Back
Top Bottom