PreGE2025 Mwalimu Mbelwa Petro: CHADEMA hawakujiandaa na Uchaguzi zaidi ya kujiotesha ndoto za kuzuia Uchaguzi

PreGE2025 Mwalimu Mbelwa Petro: CHADEMA hawakujiandaa na Uchaguzi zaidi ya kujiotesha ndoto za kuzuia Uchaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Mkweliii

Member
Joined
Apr 15, 2025
Posts
14
Reaction score
5
"Kipimo cha utayari wa kitaasisi unaweza kuona katika jinsi vyama hivi viwili vilivyojipanga na uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Wakati Dr. Samia na Dr. Nchimbi wameshaambia Watanzania kuwa kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu wanakwenda na kauli mbiu ya KAZI NA UTU - TUNASONGA MBELE, CHADEMA hawajajiandaa kwa chochote zaidi wako wanajiotesha ndoto za kugomea au kuzuia uchaguzi, wao wanadhani kuzuia uchaguzi kwenye nchi hi ni rahisi kama kuzuia mkojo".

Mwl. Mbelwa Petro, aliwahi kuwa Mgombea kiti cha Ubunge Biharamulo Magharibi 2020 kupitia CHADEMA, amesema hayo akiwa anapokelewa na Makamu Mwenyekiti CCM Taifa Stephen Wasira, 25 Machi, 2025 mkoani Kagera.
 
Ni 4Rs za Mama Samia zilizorejesha uhuru wa vyama vya siasa kufanya mikutano ya hadhara, kufutwa kwa kesi za kisiasa zikiwemo za Mh. Mbowe na utoaji wa ruzuku kwa vyama vya siasa ili vijiendeshe. Ghafla CHADEMA mnabweka eti mtatumia nguvu ya Umma kukinukisha? Tangu lini CHADEMA mkawa na ushawishi kwa Umma uliofikia kiwango cha kukinukisha kwenye nchi hii kama si busara za viongozi wetu yenyewe?

Endeleeni kukinukisha kwenye keyboards za simu zenu mkiwa vyumbani mwenu, si mtaani. Nchi iko salama sana chini ya Amiri Jeshi Mkuu, Dakta Samia.
 
Chadema hawawezi ila Njaa , ukosefu wa ajira , uonevu vyote vipo ndani ya watanzania vinasubiri cheche tu
 
Sijui macho hawana!!. Hawajiulizi tangu akamatwe TAL nani mwananchi wa kawaida kachafukwa?. Zaidi ya heche mtoa mapovu na misauti kama anahamia ndege. Leo pamekucha hata msisimko wa kilichosemwa na mwana kigugumuzi Nshala hamna. Jamii ya watu WA nchi hii hawawezi na hawakulelewa kiuanaharakati. Mbowe hakuwa mjinga kuendesha siasa zake kwa USTAARABU, UPOLE lakini namna nzuri ya uwasilishwaji wa hoja zake kwa jamii na HASA alipokuwa jukwaani.
Huyu Mlebanon TL anavyofoka kwenye taarifa za habari utasikia wasukuma wanafyonza tu.
 
"Kipimo cha utayari wa kitaasisi unaweza kuona katika jinsi vyama hivi viwili vilivyojipanga na uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Wakati Dr. Samia na Dr. Nchimbi wameshaambia Watanzania kuwa kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu wanakwenda na kauli mbiu ya KAZI NA UTU - TUNASONGA MBELE, CHADEMA hawajajiandaa kwa chochote zaidi wako wanajiotesha ndoto za kugomea au kuzuia uchaguzi, wao wanadhani kuzuia uchaguzi kwenye nchi hi ni rahisi kama kuzuia mkojo".

Mwl. Mbelwa Petro, aliwahi kuwa Mgombea kiti cha Ubunge Biharamulo Magharibi 2020 kupitia CHADEMA, amesema hayo akiwa anapokelewa na Makamu Mwenyekiti CCM Taifa Stephen Wasira, 25 Machi, 2025 mkoani Kagera.
Akijiandaa unadhani atashinda?
 
"Kipimo cha utayari wa kitaasisi unaweza kuona katika jinsi vyama hivi viwili vilivyojipanga na uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Wakati Dr. Samia na Dr. Nchimbi wameshaambia Watanzania kuwa kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu wanakwenda na kauli mbiu ya KAZI NA UTU - TUNASONGA MBELE, CHADEMA hawajajiandaa kwa chochote zaidi wako wanajiotesha ndoto za kugomea au kuzuia uchaguzi, wao wanadhani kuzuia uchaguzi kwenye nchi hi ni rahisi kama kuzuia mkojo".

Mwl. Mbelwa Petro, aliwahi kuwa Mgombea kiti cha Ubunge Biharamulo Magharibi 2020 kupitia CHADEMA, amesema hayo akiwa anapokelewa na Makamu Mwenyekiti CCM Taifa Stephen Wasira, 25 Machi, 2025 mkoani Kagera.

Wewe ndio mbelwa?
 
Back
Top Bottom