To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 28,704
- 66,936
Huyo ndivyo alivyo mkuu,mpuuzeUnaishi kwa udini tu kwanza marehemu hana jina la kikiristo wala kiislamu.
Huyo ndivyo alivyo mkuu,mpuuzeUnaishi kwa udini tu kwanza marehemu hana jina la kikiristo wala kiislamu.
R.I.P fundi wa Geography Tz.Mwalimu wetu/Rafiki yetu Mr. Mtegetwa Mng'ala amefariki Siku ya Leo katika Hospital ya Mloganzila, alipokuwa akipatiwa Matibabu.
Kwa Sasa Msiba upo Nyumbani kwake Ukonga- Bomba Mbili Ila utahamishiwa Nyumbani Kwao Ruvu Na mazishi yanatarajiwa kufanyika Siku Ya Ijumaa March 1, 2024 huko RUVU.
Best Teacher in Geography, mwalimu Mtegetwa alikuwa na kituo maarufu cha masomo ya ziada na kutoa mitihani Msimbazi, Dar es Salaam.
=======
Educational Background:-
He was also Employed as full and part time A level Geography Teacher at Various Secondary Schools
- Primary Education 1982 - 1988 At Ruvu Darajani Primary School Bagamoyo.
- Secondary Education ( O level ) 1989 - 1992 At Lugoba Secondary School.
- Utete Secondary School Rufiji.
- Zanaki Institute Of Adult Education DSM And AIC - DSM (A level ) August 1994 - May 1997.
- Univesity Of Dar Es Salaam - FASS 1998 2001
- Al Haramain Seminary (DSM) July 2001 - March 2005.
- Kinondoni Muslim (DSM) February 2002 - March 2003.
- Mororgoro Secondary School (Morogoro) May 2003 - July 2004.
- Ridhiwaa Seminary DSM August 2004 - September 2005.
- Telenets (T) LTD 2013 - 2015.
- Msolwa Seminary School (Morogoro) 2015 - 2016.
- Baobab Secondary (Bagamoyo)
Hizi dini tulizaliwa tukazikuta usitake kujifanya kuwa ww ndio muasisi wa hizi dini kuliko waliozileta...kuwa na kiasi laa sivyo zitakupeleka pabaya. Udini ni kitu kibaya sana na cha kipumbavu.Kasomesha Alharamain? Halafu kuna wapumbavu wachache humu wanasema waislam wanabagua. Kuna walimu wanaingia na misalaba yao ktk shule za kiislam.
Ukianza upuuzi wako wa kutaka kubatiza watoto wetu hapo ndio utapoona moto wa waislam
Huyo msabila ni mwamba haswa kweli zamani kulikuwa na mafundi.Amechangia sana mimi kupata alama B katika somo la jografia A level.
Heshima kwa Zisti kamili, Dt Msabila, Gervas Zombwe, Mkumba
Innallilah wainallilah rajiuun, alinifundisha form fourInna lillah wainah illahi rajioon, mara ya mwisho alikuwa anafundisha shule ya Baobao
Ukweli unaumaHizi dini tulizaliwa tukazikuta usitake kujifanya kuwa ww ndio muasisi wa hizi dini kuliko waliozileta...kuwa na kiasi laa sivyo zitakupeleka pabaya. Udini ni kitu kibaya sana na cha kipumbavu.
Nani ana muda wa kuwabatiza? Hakuna Mwalimu mwenye muda wa kuwabatiza wala kuwajaza majiniKasomesha Alharamain? Halafu kuna wapumbavu wachache humu wanasema waislam wanabagua. Kuna walimu wanaingia na misalaba yao ktk shule za kiislam.
Ukianza upuuzi wako wa kutaka kubatiza watoto wetu hapo ndio utapoona moto wa waislam
WapoNani ana muda wa kuwabatiza? Hakuna Mwalimu mwenye muda wa kuwabatiza wala kuwajaza majini
Admins Jf,hebu hii habari wekeni na page yenu ya Insta,X huyu mwl amefundisha watu kibao wako sehemu mbali mbali wapate taarifa jabali la geography Tz limedondoka.Mwalimu wetu/Rafiki yetu Mr. Mtegetwa Mng'ala amefariki Siku ya Leo katika Hospital ya Mloganzila, alipokuwa akipatiwa Matibabu.
Kwa Sasa Msiba upo Nyumbani kwake Ukonga- Bomba Mbili Ila utahamishiwa Nyumbani Kwao Ruvu Na mazishi yanatarajiwa kufanyika Siku Ya Ijumaa March 1, 2024 huko RUVU.
Best Teacher in Geography, mwalimu Mtegetwa alikuwa na kituo maarufu cha masomo ya ziada na kutoa mitihani Msimbazi, Dar es Salaam.
=======
Educational Background:-
He was also Employed as full and part time A level Geography Teacher at Various Secondary Schools
- Primary Education 1982 - 1988 At Ruvu Darajani Primary School Bagamoyo.
- Secondary Education ( O level ) 1989 - 1992 At Lugoba Secondary School.
- Utete Secondary School Rufiji.
- Zanaki Institute Of Adult Education DSM And AIC - DSM (A level ) August 1994 - May 1997.
- Univesity Of Dar Es Salaam - FASS 1998 2001
- Al Haramain Seminary (DSM) July 2001 - March 2005.
- Kinondoni Muslim (DSM) February 2002 - March 2003.
- Mororgoro Secondary School (Morogoro) May 2003 - July 2004.
- Ridhiwaa Seminary DSM August 2004 - September 2005.
- Telenets (T) LTD 2013 - 2015.
- Msolwa Seminary School (Morogoro) 2015 - 2016.
- Baobab Secondary (Bagamoyo)
huyo ni muislam mjinga wewe.Kasomesha Alharamain? Halafu kuna wapumbavu wachache humu wanasema waislam wanabagua. Kuna walimu wanaingia na misalaba yao ktk shule za kiislam.
Ukianza upuuzi wako wa kutaka kubatiza watoto wetu hapo ndio utapoona moto wa waislam
Umeona Sasa? Nilishasemaga Muisalmu anayejielewa ni yule tuu ambaye hajang'ng'ania uislamu..Kasomesha Alharamain? Halafu kuna wapumbavu wachache humu wanasema waislam wanabagua. Kuna walimu wanaingia na misalaba yao ktk shule za kiislam.
Ukianza upuuzi wako wa kutaka kubatiza watoto wetu hapo ndio utapoona moto wa waislam