Kama wa kufa atakufa tu mkuu.! Mwl isiwe kisingizio wangapi ulio wahi wasikia wameuwawa na walimu?Kwa maana iliyojificha unasapoti walimu kuchapa watoto mpk kuwaua?
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha porojo wewe...walimu wamemtandika mtoto mpaka wamemuua mtoto still bado unaunga mkono uuaji?Kama kuna mwalimu mwenye njaa ya kutandika viboko nadhani ndiye atalilia kutandika watoto. Hakuna mwalim mwenye njaa ya kutandika mitoto yenu. Ila, miaka 2 tu ijayo, wewe unayedhihaki humu, ndio utakuwa wa kwanza kuja lialia humu humu. Acheni dhihaka kwa waalimu. Mtu aliyekutoa tongo tongo ukajua kuumba herufi a leo unamdhihaki?? Laana zingine zitatupatia hapa hapa.
Nazidi kusisitiza kwamba; Hakuna mwalimu mwenye njaa ya kutandika mtoto wa mtu fimbo. Ila, anatamani mwanao awe raia mzuri na mwenye utaalam
Yote uliyoyaeleza hpo hayampi uhalali mwalimu wa kushika gongo na kumpiga mwanafunzi kichwani mpaka kumuua!! Naona unachukulia kifo simpo sana angekuwa mwanao ndyo ameuliwa kwa staili hyo ungeandika hyo comment km ulivyoiandika!!?.Kama wa kufa atakufa tu mkuu.! Mwl isiwe kisingizio wangapi ulio wahi wasikia wameuwawa na walimu?
Mwalimu aweza kuwa mzazi kuliko hata wewe mwalimu anakaa na mwanao kwa miaka saba na huenda zaidi ya masaa nane kila siku anamfahamu mwanao mara elfu kadhaa.
Binti anavunja ungo kwa mara ya kwanza anayejua hilo ni mwalimu wake, kijana ana barehe anayelitambua hilo mwanzo ni mwalimu wake, leo hii unamuona muuaji ila wewe na visaa viwili vyako ndio mzazi na mlezi mwema.. muwe na shukrani.
Sent using Jamii Forums mobile app
U-local wako wa kuzaliwa sehemu moja na kukulia sehemu ile ile ndiyo unakufanya ufukirie viboko ndiyo njia pekee ya kumfanya mwanafunzi awe na tabia nzuri. Ulaya watoto hawachapwi na wanapokuwa wanakuwa na heshima na ni waaminifu. Bongo mnachapa viboko na watoto wakimaliza ndiyo wanakuwa wezi, waongo na waasherati wakubwa!Mwalimu kutoadhibu ni jambo linalowezekana kwa 100%
Fuatilia mwongozo huu: Mwalimu hakikisha umefika shule muda husika, simamia usafi na kama wanafunzi hawaonyeshi kushiriki kufanya usafi, tafadhali usishike kiboko. Mwalimu kumbuka muda wa vipindi ukifika hata kama mazingira ya shule ni machafu, wanafunzi waingie darasani tayari kwa masomo. Mwalimu fundisha kipindi chako kama mwongozo unavyoonesha, tafadhali usiwafuatilie wanafunzi wasioandika, kwani inaweza kuhamasisha hisia za kutoa adhabu ili kumjenga mwanafunzi husika. Mwalimu, daftari zikikusanywa kwa ajili ya kusahihisha, tafadhali usifuatilie kubaini wanafunzi wasiokusanya daftari kwani kubaini kwako kunaweza kupelekea kuwepo na mazingira yenye kuchochea adhabu.
Mwalimu wakati utakapoita majina, zingatia kuwa wale waliopo darasani kwa wakati huo ndiyo wanaokuhusu, hitaji lako la kutaka kujua mwanafunzi X ana tatizo gani la kutokuja shuleni linaweza kupelekea mazingira yatakayo chochea adhabu, kwani wanafunzi wenzie wakati mwingine watakupa jibu kuwa mwanafunzi X yupo maeneo ya chooni anacheza tu, hivyo jibu ili linaweza kupelekea mazingira ya adhabu. Mwalimu wangu, mara upatapo kesi za mwanafunzi X kuwa amepigana darasani au kutoa lugha chafu, tafadhali tumia neno moja tu kuwa "LUGHA ZA MATUSI SI NZURI " kisha mruhusu kurudi darasani ili kuepusha mazingira ya adhabu. Mwalimu wangu mzazi akikuletea kesi ya mtoto wake kuhusu tabia za nyumbani na hata mwenendo mbovu wa maendeleo yake darasani, tafadhali mueleze mzazi kuwa amalizane na mwanaye kwa namna inayofaa. Mwalimu wangu ukifuata muongozo huu, shutuma na jazba za wana wa nchi hii utaziepuka pia itakusaidia japo kurudisha mwili wako uliopukutika kwa kufuatilia watoto wasiokuhusu, nakutakia kazi njema mwalimu wangu.
Yani kwasababu wameambiwa wasipige ovyo, eti wanataka kuzila kufundishaHawa walimu ni kati ya viumbe wa ajabu kabisa.
Haiwezekani mtu alilie haki ya kuwafanyia ukatili wanafunzi.
Sidhani kama kuna hiyo haki kwenye katiba ya nchi yoyote duniani.
Haki ya kuchapa!!! Haha..
Sent using Jamii Forums mobile app
Maneno hayawezi kubadili nafasi ya fimbo?Kama kuna mwalimu mwenye njaa ya kutandika viboko nadhani ndiye atalilia kutandika watoto. Hakuna mwalim mwenye njaa ya kutandika mitoto yenu. Ila, miaka 2 tu ijayo, wewe unayedhihaki humu, ndio utakuwa wa kwanza kuja lialia humu humu. Acheni dhihaka kwa waalimu. Mtu aliyekutoa tongo tongo ukajua kuumba herufi a leo unamdhihaki?? Laana zingine zitatupatia hapa hapa.
Nazidi kusisitiza kwamba; Hakuna mwalimu mwenye njaa ya kutandika mtoto wa mtu fimbo. Ila, anatamani mwanao awe raia mzuri na mwenye utaalam
Hahaah unataka uitwe na madogo DisminderMwalimu kutoadhibu ni jambo linalowezekana kwa 100%
Fuatilia mwongozo huu: Mwalimu hakikisha umefika shule muda husika, simamia usafi na kama wanafunzi hawaonyeshi kushiriki kufanya usafi, tafadhali usishike kiboko. Mwalimu kumbuka muda wa vipindi ukifika hata kama mazingira ya shule ni machafu, wanafunzi waingie darasani tayari kwa masomo. Mwalimu fundisha kipindi chako kama mwongozo unavyoonesha, tafadhali usiwafuatilie wanafunzi wasioandika, kwani inaweza kuhamasisha hisia za kutoa adhabu ili kumjenga mwanafunzi husika. Mwalimu, daftari zikikusanywa kwa ajili ya kusahihisha, tafadhali usifuatilie kubaini wanafunzi wasiokusanya daftari kwani kubaini kwako kunaweza kupelekea kuwepo na mazingira yenye kuchochea adhabu.
Mwalimu wakati utakapoita majina, zingatia kuwa wale waliopo darasani kwa wakati huo ndiyo wanaokuhusu, hitaji lako la kutaka kujua mwanafunzi X ana tatizo gani la kutokuja shuleni linaweza kupelekea mazingira yatakayo chochea adhabu, kwani wanafunzi wenzie wakati mwingine watakupa jibu kuwa mwanafunzi X yupo maeneo ya chooni anacheza tu, hivyo jibu ili linaweza kupelekea mazingira ya adhabu. Mwalimu wangu, mara upatapo kesi za mwanafunzi X kuwa amepigana darasani au kutoa lugha chafu, tafadhali tumia neno moja tu kuwa "LUGHA ZA MATUSI SI NZURI " kisha mruhusu kurudi darasani ili kuepusha mazingira ya adhabu. Mwalimu wangu mzazi akikuletea kesi ya mtoto wake kuhusu tabia za nyumbani na hata mwenendo mbovu wa maendeleo yake darasani, tafadhali mueleze mzazi kuwa amalizane na mwanaye kwa namna inayofaa. Mwalimu wangu ukifuata muongozo huu, shutuma na jazba za wana wa nchi hii utaziepuka pia itakusaidia japo kurudisha mwili wako uliopukutika kwa kufuatilia watoto wasiokuhusu, nakutakia kazi njema mwalimu wangu.
Kuna shida kwenye akili yako.Yote uliyoyaeleza hpo hayampi uhalali mwalimu wa kushika gongo na kumpiga mwanafunzi kichwani mpaka kumuua!! Naona unachukulia kifo simpo sana angekuwa mwanao ndyo ameuliwa kwa staili hyo ungeandika hyo comment km ulivyoiandika!!?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umejiuliza pia kwanini unaona kiboko ndio njia sahihi zaidi kumuelimisha mwanafunzi?
Nikuulize hilo swali wewe unaesapoti wanafunzi kupigwa mpaka kuuliwa!!!
Kwani waziri amesema viboko vimeondolewa? Au yameondolewa madaraka ya viboko kwa kila mwalimu?Sijasema kuwa kiboko ndio njia sahihi ya kumuelimisha mtoto. Je, hakuna mtoto anayemaliza mwaka bila kuchapwa shuleni?? Nimesema, fimbo zikiondolewa shuleni, nidhamu itatoweka
Unajitahidi sana kupotosha. HAUTAFANIKIWA.Sijasema kuwa kiboko ndio njia sahihi ya kumuelimisha mtoto. Je, hakuna mtoto anayemaliza mwaka bila kuchapwa shuleni?? Nimesema, fimbo zikiondolewa shuleni, nidhamu itatoweka
Wameuliwa wangapi?Nikuulize hilo swali wewe unaesapoti wanafunzi kupigwa mpaka kuuliwa!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kichwani kwako kuna ufahamu atakayekuwa na ushahidi ni mzazi wako tu.