Yaani jamaa amejaa fikra za kibaguzi na kujitutumua kupita kiasi. Shame on that person.
Kweli kabisa wakuu, ni rahisi sana kugundua upeo wa mtu anayeleta mada humu..... Huyu mleta hii mada nadhani ni kamlete!!!! Na hata elimu yake na upeo wake wa kufikiri utakuwa na tatizo