Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,102
- 53,357
Mwalimu alimwuliza ruttashobolwa, "ukiwa mkubwa unataka kufanya nini?" ruttashobolwa akajibu, "nataka nimwoe mke mrembo, tuwe tunaogelea pamoja, niwe nikifanya mapenzi nae mara tatu kwa siku, niwe ............... .." Mwalimu akamkatizia ruttashobolwa akamgeukia madame B, "we untaka uwe nini ukiwa mkubwa?" ​madame B akajibu, " Nataka niwe mke wa ruttashobolwa!!!!"