dimatteo
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 868
- 935
Habarini wakuu wa JF.
Leo nimemkubuka Mwalimu wangu na kwa wengine ambae ni bora kabisa katika kizazi hiki na kijacho.
Huyu si mwingine ni Ngaola au ukipenda muite Moddy Physics/ Commissioner
Daah sitakusahau Baba, wewe ndie mwalimu wangu bora kabisa wa muda wote nilitesekaga sana kwenye Physics ila kwako nilipata unafuu mkubwa.
Marafiki zangu kipindi nipo A'Level na O'level walinibatiza jina la 'ZE YOUNG COMMISSIONER'
maana nilizipatia sana zile mbwembwe zako kama 'Let's stop here at this particular junction and if God wishes we shall meet 2moro"
Na jinsi ulivyokuwa unaguna yaani "mmhhhhhhh! mhhhhhh!"
Daah, sikuacha maarifa uliyonipatia nikae nayo peke yangu, ila nimeweza kuwafundisha vijana wengi wengi sana na nimepata sifa nyingi ila moyoni najua bila wewe nisingekuwa hivi.
Am so happy I'm medical personnel ila I love physics because of you na kwa sababu hukunikaririsha.
UISHI MAISHA MAREFU, COMMISSIONER
Leo nimemkubuka Mwalimu wangu na kwa wengine ambae ni bora kabisa katika kizazi hiki na kijacho.
Huyu si mwingine ni Ngaola au ukipenda muite Moddy Physics/ Commissioner
Daah sitakusahau Baba, wewe ndie mwalimu wangu bora kabisa wa muda wote nilitesekaga sana kwenye Physics ila kwako nilipata unafuu mkubwa.
Marafiki zangu kipindi nipo A'Level na O'level walinibatiza jina la 'ZE YOUNG COMMISSIONER'
maana nilizipatia sana zile mbwembwe zako kama 'Let's stop here at this particular junction and if God wishes we shall meet 2moro"
Na jinsi ulivyokuwa unaguna yaani "mmhhhhhhh! mhhhhhh!"
Daah, sikuacha maarifa uliyonipatia nikae nayo peke yangu, ila nimeweza kuwafundisha vijana wengi wengi sana na nimepata sifa nyingi ila moyoni najua bila wewe nisingekuwa hivi.
Am so happy I'm medical personnel ila I love physics because of you na kwa sababu hukunikaririsha.
UISHI MAISHA MAREFU, COMMISSIONER
