Mwalimu anataka kusomea computer science bila likizo ya bila malipo je, afanyaje?

TANZANIAN NINJA

JF-Expert Member
Apr 19, 2018
441
491
Natumai ni wazima pia poleni wote wenye matatizo kama wapo. Baada ya salamu ningependa kupata ufafanuzi juu ya jambo hili.

Mtu ni mwalimu wa secondary na ufaulu wake wa A-level unamruhusu kusoma kozi za computer science lakini watu wamekuwa wakisema mtu atapewa ruhusa ya kusoma na kupokea mshahara hadi atapomaliza masomo yake ikiwa anachosomea kinahusiana na kazi yake, haruhusiwi kusoma nje ya fani anayofanyia kazi unless kwa kujitegemea bila kuathiri kazi yaani asome baada ya kutoka kazini jioni au aombe ruhusa bila malipo.

Naomba kupata uzoefu wenu kwa kesi kama ya huyu mtu kuna uwezekano wa kumshawishi mwajiri amruhusu akasome?
 
TANZANIAN NINJA,
Mwajiri (DED) hawezi akakupitishia barua kwa kuwa unabadili kada i.e kutoka Elimu kwenda kada nyingine. Mi nina kisa cha rafiki yangu aliomba kwenda kusomea shahada ya Elimu, alipofika Chuo akabadilisha kada, akaenda Kada ya Afya na akasoma Diploma ya Clinical Medicine alipomaliza akarudi kwa DED

ndipo akamweleza ukweli basi akapewa taratibu za kubadili Kada ambapo Mtumishi anatakiwa kumwandikia barua Katibu Mkuu-TAMISEMI kupitia kwa DED alipofuata hizo taratibu (japo walimzungusha sana ) hatimaye akapangiwa kwenye hospital ya kata na sasa hivi anafanya kazi huko.

Mkuu inawezekana ila tu usimtaarifu DED kuwa unataka kubadil Kada we omba tu ruhusa ya kwenda kujiendeleza ukifika huko mambo yatajipanga tuu yenyewe.

Kila jema mkuu🙏
 
htc One M9, Shida inakuja kwenye baadhi ya halmashauri huwa zinaitaji matokeo yako kila baada ya semester ili wajilidhishe kweli upo chuoni, hapa ndio shida inapoanzia mkuu.

Mfano mzruri ni halmashauri moja hapa mkoani kwa wakurya ambapo wanaishi wajaluo wengi zaidi inautaratibu huo.
 
Shida inakuja kwenye baadhi ya halmashauri huwa zinaitaji matokeo yako kila baada ya semester ili wajilidhishe kweli upo chuoni, hapa ndio shida inapoanzia mkuu
Mfn mzr ni halmashauri moja hapa mkoani kwa wakurya ambapo wanaishi wajaluo wengi zaidi inautaratibu huo

Hicho kitu nipo sana that why nakiomba kufahamushwa kama kunauwezekano wa kumshawishi DED
 
Hicho kitu nipo sana that why nakiomba kufahamushwa kama kunauwezekano wa kumshawishi DED

Duh hapo pa kutuma matokeo kila semester sikuwahi faham kama kuna baadhi ya Halmashauri zina utaratibu huo ila Mkuu jaribu kufanya uchunguzi hapo kwenye Wilaya yenu au kama kwenye Wilaya yenu mnakuaga na utaratibu wa kufanya vikao na K/Katibu wa TSC wilaya unaweza kumuuliza ikawa pia ni kwa faida ya wengi
 
Duh hapo pa kutuma matokeo kila semester sikuwahi faham kama kuna baadhi ya Halmashauri zina utaratibu huo ila Mkuu jaribu kufanya uchunguzi hapo kwenye Wilaya yenu au kama kwenye Wilaya yenu mnakuaga na utaratibu wa kufanya vikao na K/Katibu wa TSC wilaya unaweza kumuuliza ikawa pia ni kwa faida ya wengi

Wilaya yetu huo utaratibu haupo hofu yangu kwa siku za mbeleni siunajua mambo yanavyo badilika siku hizi.

Ila nitajaribu kuulizia zaidi kama ulivyoshauri. Asante sana.
 
Hapa kama unaweza msuli wa Open University nenda kasome maana hata karo yao sio mbaya pia ina muda mrefu wa kumaliza mfn bach unaweza kusoma hadi miaka mitano kwa vipande vipanda ila umalize ndani ya huo muda.

Au soma vyuo vya mtandaoni navyo vipo vizuri sema inaitaji ufahamu na uwe na sehemu ya practical, wazo lingine ivunje hiyo bachelor in term of courses then nenda kasome course moja moja kama cheti/certificate ila baadae ufanye mitihani ya kuwa certified kama vile cisco, ms, etc
 
Hapa kama unaweza msuli wa Open University nenda kasome maana hata karo yao sio mbaya pia ina muda mrefu wa kumaliza mfn bach unaweza kusoma hadi miaka mitano kwa vipande vipanda ila umalize ndani ya huo muda au soma vyuo vya mtandaoni navyo vipo vizuri sema inaitaji ufahamu na uwe na sehemu ya practical, wazo lingine ivunje hiyo bachelor in term of courses then nenda kasome course moja moja kama cheti/certificate ila baadae ufanye mitihani ya kuwa certified kama vile cisco, ms, etc

Asante sana... lakini open wao kozi za IT huwa nilazima kosoma darasani sinahakika kama wana computer science.

Open kama wangetoa usomaji wa nyumbani kwa kozi za computer ingekuwa poa sana.
 
Hapa kama unaweza msuli wa Open University nenda kasome maana hata karo yao sio mbaya pia ina muda mrefu wa kumaliza mfn bach unaweza kusoma hadi miaka mitano kwa vipande vipanda ila umalize ndani ya huo muda au soma vyuo vya mtandaoni navyo vipo vizuri sema inaitaji ufahamu na uwe na sehemu ya practical, wazo lingine ivunje hiyo bachelor in term of courses then nenda kasome course moja moja kama cheti/certificate ila baadae ufanye mitihani ya kuwa certified kama vile cisco, ms, etc

Asante sana... lakini open wao kozi za IT huwa nilazima kosoma darasani sinahakika kama wana computer science.

Open kama wangetoa usomaji wa nyumbani kwa kozi za computer ingekuwa poa sana.
 
TANZANIAN NINJA, Kwanza nani kakuambia mtu haruhusiwi kusoma nje ya fani yake?

Mtu anaruhusiwa vizuri tu, ndo maana kuna "ReCategorization"


Unaomba ruhusa, ukikubaliwa Fresh...unaanza mchakato...Ingawa siku hivi waajiri (Mfano Serikali) wengi wanajisomesha wenyewe, mshahara ndo utakuwa unapokea.
 
Kwanza nani kakuambia mtu haruhusiwi kusoma nje ya fani yake?

Mtu anaruhusiwa vizuri tu, ndo maana kuna "ReCategorization"


Unaomba ruhusa, ukikubaliwa Fresh...unaanza mchakato...Ingawa siku hivi waajiri (Mfano Serikali) wengi wanajisomesha wenyewe, mshahara ndo utakuwa unapokea.

Niliwahi soma moja ya vipengele vya standard order vinavyo husiana na kujiendekeza kwa mtumishi, katika kipengele hicho wanasema ataruhusiwa kusoma nje ya fani kama mwajiri kamtaka kusoma hiyo fani kwa maslahi ya idala. Tofauti na hapo ataruhusiwa lakini kwa kuomba likizo ya bila malipo pia atajisomesha kwa gharama zake.

Sasa sijui wanaposema likizo bila malipo wanamaanisha kutopokea mshahara kipindi cha likizo au kutolipwa hela ya likizo ?
 
TANZANIAN NINJA,
Sio lazima ...Vitu vingine ni mahusiano tu.... Wengi tu hapa nilipo wameenda na wamesoma kozi tofauti na kazi zao na miahahara inaingia.

Hata mimi mwenyewe nimeenda na nimesoma kozi tofauti na kazi yangu na mshahara uliendelela kuingia vitu vingine ni maahusiano tu.

Kama sheria zinavunjwa ndio ziwe standard order ... Yeye ajipange amvae DED wake kama mzazi mlezi amueleze kwanza. Hatomkatalia naamini
 
Niliwahi soma moja ya vipengele vya standard order vinavyo husiana na kujiendekeza kwa mtumishi, katika kipengele hicho wanasema ataruhusiwa kusoma nje ya fani kama mwajiri kamtaka kusoma hiyo fani kwa maslahi ya idala. Tofauti na hapo ataruhusiwa lakini kwa kuomba likizo ya bila malipo pia atajisomesha kwa gharama zake.

Sasa sijui wanaposema likizo bila malipo wanamaanisha kutopokea mshahara kipindi cha likizo au kutolipwa hela ya likizo ?
Sasa nikuambie tu, anapewa ruhusa bila tatizo....anaenda kusomea anachotaka....Anarudi wanamBadilishia kitengo.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom