Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,972
- 22,922
- Thread starter
- #21
Popote pale atakapochagua mgeni wangu nitampeleka hapoLunch wapi? Kwa Mariam Biriani?
Popote pale atakapochagua mgeni wangu nitampeleka hapoLunch wapi? Kwa Mariam Biriani?
Gily tuheshimiane plzKuweki makini na mafisi nyie single maza. Fisi ni viumbe wabaya hawafai katika jamii. Mbali na kuongoza nchi wanawatumia kama farasi
Bwashee nina mke na watoto, siwezi kumla mke wa mwingineAnaenda kuliwa mtu
Mbona unataka kuharibu offer?
acha wivu kisatu upo nanjilinji
Sijatoa offer ya kumla single mother, Soma vizuri mwalikoWaache wakaliwe masihara
Huniamini?Tunaogopa lunch za ghafla ghafla
Ulianz kunivunjia heshima kwa nini utuponde wachaga. Hichi ndicho unachokitafutaGily tuheshimiane plz
Hapana isee sijawaponda wachaga bali nimewateteaUlianz kunivunjia heshima kwa nini utuponde wachaga. Hichi ndicho unachokitafuta
View attachment 2549208
........heri yako wewe umewakumbuka Kwa wema hao single moms(if you are not mocking) ......coz kibongobongo huwa wanasilibwa sana bila kujali kuwa kiafrika asilimia kubwa ya watu wazima waliopo wamekuwa raised up by the so called single mamas.......Nahitaji kukutana na single mother yeyote ili tupate pamoja lunch na kumbadilisha mawazo pamoja na kuombeana.
Gharama za lunch ni juu yangu, aliye tayari aje pm tufanye appointment.
Offer hii ni kwa single mother yeyote aishie Dar. Wale wa mikoani msijisumbue.
Karibuni.
Kwa nini unawaza hivyo?Unatafuta kitonga ama vip
Ni watamu ila mie sitafuti wa kumegaNawaelewaga hao watu ni watamu,,,alafu unamtongoza Mama kwa kumjali mtoto,,,dogo akikuelewa tuu kwa Maza lazima akupe Taaammm!!!
Haifai kuwanyanyapaa, lazima tuwakumbuke kwa wema........heri yako wewe umewakumbuka Kwa wema hao single moms(if you are not mocking) ......coz kibongobongo huwa wanasilibwa sana bila kujali kuwa kiafrika asilimia kubwa ya watu wazima waliopo wamekuwa raised up by the so called single mamas.......
Nahitaji kukutana na single mother yeyote ili tupate pamoja lunch na kumbadilisha mawazo pamoja na kuombeana.
Gharama za lunch ni juu yangu, aliye tayari aje pm tufanye appointment.
Offer hii ni kwa single mother yeyote aishie Dar. Wale wa mikoani msijisumbue.
Karibuni.
.......ni kweli bro wanahitaji upendo na faraja ingawa kwa hapa jf hawa kina mama huwa wanaonekana kama vile wame-commit murder....watu wanawakalia kooni!!!....Haifai kuwanyanyapaa, lazima tuwakumbuke kwa wema