Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,972
- 22,922
Nahitaji kukutana na single mother yeyote ili tupate pamoja lunch na kumbadilisha mawazo pamoja na kuombeana.
Gharama za lunch ni juu yangu, aliye tayari aje pm tufanye appointment.
Offer hii ni kwa single mother yeyote aishie Dar. Wale wa mikoani msijisumbue.
Karibuni.
Gharama za lunch ni juu yangu, aliye tayari aje pm tufanye appointment.
Offer hii ni kwa single mother yeyote aishie Dar. Wale wa mikoani msijisumbue.
Karibuni.