Ambitious
JF-Expert Member
- Dec 26, 2011
- 2,144
- 875
Just a little
Since i might end up being her shoulder to cry on,i'll make sure it doesn't happen.Comprendre??
Just a little
bedsheet mate? hahahahaha watu wanajipa promo tu humu ndani!Mamboz Bedsheet mate
Haya! sasa nambie, unalalamika nini hapo juu?Mi hata sijui ila aka yake ni Blanket mate
U don't wanna use the advantage to lure her?
Does conquer means collecting loose balls? Well somebody said you can't even kill a fly but unajigamba u can kill the elephantNope..i practically live with her what else can i wish for? And for the record..'lure' aint my thing,i do conquer though.
Uncle wangu ndio aliweka hizo privacy settings,Niifungulie kwanza kule ulikonifungia nikwambie
Does conquer means collecting loose balls? Well somebody said you can't even kill a fly but unajigamba u can kill the elephant
Okay done but kwani huyo uncle wako hapokei rushwa?Uncle wangu ndio aliweka hizo privacy settings,
misiwezi kuzitoa, sina access huko. Pole sana
Kifupi ni kwamba siwezi pokea PM toka kwa mtu
Unless huyo mtu ni wa familia, au ni 'rafiki' rasmi.
Sasa add me as a friend, I'll add you back, then send your PM.
Yes i live in the Amazon with anacondas, that somebody lives on top of Everest and can see whats goin on down stars especially to you.Loose balls....flies....kill....elephants....What is all this stuffs about,mkuu do you live in the Amazon with that somebody??
I got my contract and it is laminated so until it expires just learn how to live with it.Hurt..cry..beg..collect flies..kill elephants.It doesn't matter that much.
Terms and conditions apply.
Dear Mwali,
Natumai we ni mzima bukheri wa afya. Mimi ni mzima japo napata matatizo ya kulala hasa ninapokuwaza.
Lengo na madhumuni ya ujumbe huu ni kukutakia heri ya pasaka na kutaka kukwaambia kuwa nimefadhaishwa sana baada ya kugundua kuwa umefanya kweli vile ulivyosema utafanya juu yangu. Nimekuwa mdogo kiasi cha kuweza kupita chini ya upenyo wa mlango (nimefanya hivyo leo)
Hata hivyo bado nimo,
Wako katika mchakato
Musimo jr
Unaguna nini? Kimekuuma?Hhhmmm. . .
Hhhhhmmmm. . .
Mmmmhhhhh!!!
Unaguna nini? Kimekuuma?
Sasa wewe janaume mcharuko shingo feni mimacho mara kwa mwali mara kwa Lizzy la kazi gani?Niumie wakati inasemekana mimi ndie wakudumu?
Nimeshangaa tu Jr alivyocharuka.
Sasa wewe janaume mcharuko shingo feni mimacho mara kwa mwali mara kwa Lizzy la kazi gani?