Malafyale
Platinum Member
- Aug 11, 2008
- 13,895
- 11,288
Nyinyi kina Mwa mwa mwa ni wabinafsi na wakabila kinyama pamoja na Wahaya bila kuwasahau Wachaga! Hamuwezi kufanyakazi na makabila mengine tofauti na nyinyi!
*JK anajenga bandari mpya Bagamoyo wakati ya Dar hapo karibu ipo
*Bank ya Dunia imeleta mradi mkubwa wa kuendeleza kilimo cha mpunga Rufiji wakati Kyela ndiyo yenye mchele bora
*Gasi inatoka Mtwara inasafishiwa karibu na kwa JK ili wengi wapate ajira
*Barabara na daraja la Mkapa iliisha wakati wa Rais ni Mkapa
Nani basi ambaye sio wabinafsi?Wanyakyusa hatuna ubinafsi "mma ngokanika"