Utawezaje kumuelewa wakati wewe level yako ya kuelewa imefikia kikomo.Nchi ya maigizo hii.
Sijui kwanini sijawahi kumuelewa Mwakyembe toka asubuhi ile ya February 7 mwaka 2008
Utawezaje kumuelewa wakati wewe level yako ya kuelewa imefikia kikomo.Nchi ya maigizo hii.
Sijui kwanini sijawahi kumuelewa Mwakyembe toka asubuhi ile ya February 7 mwaka 2008
Nchi ya maigizo hii.
Sijui kwanini sijawahi kumuelewa Mwakyembe toka asubuhi ile ya February 7 mwaka 2008
Mwakyembe alichafua kwa kupandikiza ukabla kuwaajiri ndugu zake watupu huku akishiriki kuiba sana, Mzee sita na yeye aliiba zaidi huku akihujumu Reli na kuwafanya Wamiliki wa maroli mladi wa kuchukua pesa kwa kisingizio kuwa akifufua Reli na treni za mizigo watazuiwa kupakia mizigo.kila mmoja alikuwa mwizi kwa syle yake lakini mwisho wa siku wote hawakuisaidia bandari chochote.
Tulikuwa tunampa hongera na sifa nyingi humu Mwakyembe tukisema 'aliisafisha bandari' na ni 'mchapakazi' na wengine wakiomba ateuliwe kuwa Waziri mkuu ili alete Hiyo kasi na uchapakazi lakini tunakumbuka Sitta alipom replace na yeye Sitta akala 'ujiko' wa kuisafisha bandari na kuondoa madudu.
Kumbe in reality hakuna walichokifanya au walichokifanya hakikuwa na manufaa sasa tena sasa tunashingilia Magufuli na Majaliwa 'kuisafisha 'bandari na kuondoa madudu.
Maswali ya kujiuliza Sitta na Mwakyembe 'tuliwasifia' kwa nini hasa? Na kinachofanyika sasa tuna uhakika ndo soluhisho la kudumu? Kama sifa tulizowapa Mwakyembe na Sitta huko nyuma zilikuwa za makosa na hizi sifa tunazo mwaga sasa je? Hivi haiwezekani nchi hii mambo yakaenda bila kiongozi 'kutikisa' na 'kutingisha' na 'kusafisha' na 'akamwagiwa' sifa tele?
Nchi zote zenye efficiency viongozi wao huwa 'wanatikisa' na 'kutingisha' na 'kusafisha' Kama hapa kwetu?
Tulikuwa tunampa hongera na sifa nyingi humu Mwakyembe tukisema 'aliisafisha bandari' na ni 'mchapakazi' na wengine wakiomba ateuliwe kuwa Waziri mkuu ili alete Hiyo kasi na uchapakazi lakini tunakumbuka Sitta alipom replace na yeye Sitta akala 'ujiko' wa kuisafisha bandari na kuondoa madudu.
Kumbe in reality hakuna walichokifanya au walichokifanya hakikuwa na manufaa sasa tena sasa tunashingilia Magufuli na Majaliwa 'kuisafisha 'bandari na kuondoa madudu.
Maswali ya kujiuliza Sitta na Mwakyembe 'tuliwasifia' kwa nini hasa? Na kinachofanyika sasa tuna uhakika ndo soluhisho la kudumu? Kama sifa tulizowapa Mwakyembe na Sitta huko nyuma zilikuwa za makosa na hizi sifa tunazo mwaga sasa je? Hivi haiwezekani nchi hii mambo yakaenda bila kiongozi 'kutikisa' na 'kutingisha' na 'kusafisha' na 'akamwagiwa' sifa tele?
Nchi zote zenye efficiency viongozi wao huwa 'wanatikisa' na 'kutingisha' na 'kusafisha' Kama hapa kwetu?
TRA wanahusika direct na ulinzi wa kontena?
au zilipotolewa kuna forged documents?
walinzi wa gate no 5 ni waajiriwa wa TRA?
Achana naye huyo. Kila kitu cha Magufuli so far amebeza. Sijui alitaka Rais afanyeje! Au ili mradi ni wa CCM haoni jema.
Binafsi nahisi ni movies mbili tofauti na sterling wake ni tofauti kabisa. Ila tatizo linabaki wa watazamaji, ni movie ipi inatuletea ukweli kama ulivyo?
Bado nina mashaka na utendaji wa serikali zetu!
The Boss hoja yako haijaeleweka vizuri. wao wanadhani unabeza utendaji kazi wa Magufuli kumbe unahoji kama hatua zilizochukuliwa ni endelevu kitaasisi au ni sifa za muda mfupi za mtu? Watu badala ya kujadili maudhui yanayojenga hoja yako, wao wanajadili mtiririko wa uandishi wa hoja yenyewe.
Pia umetoa hoja ya msingi sana. Hivi nchi kama Marekani, Japani, nchi za Scandinavia,Ulaya na nyinginezo zilizoendelea za Asia zikiongozwa na Uchina, nchi zao ziliendelea kwa viongozi wao kufanya mbwembwe hizi zinazofanywa na viongozi wetu?
Mwakyembe alichafua kwa kupandikiza ukabla kuwaajiri ndugu zake watupu huku akishiriki kuiba sana, Mzee sita na yeye aliiba zaidi huku akihujumu Reli na kuwafanya Wamiliki wa maroli mladi wa kuchukua pesa kwa kisingizio kuwa akifufua Reli na treni za mizigo watazuiwa kupakia mizigo.kila mmoja alikuwa mwizi kwa syle yake lakini mwisho wa siku wote hawakuisaidia bandari chochote.
The Boss, unatumika vibaya sana na hujui unachotumika nacho. Waambie hao wanaokutuma, waangalie haja za kukutuma nazo. Hivi unafikiri bila kazi ya TPA wakiwa chini ya Mwakyembe wasingetunza kumbukumbu taarifa zingepatikana wapi? Sasa kwa kukusaidia tu mchezo ulikuwa kama ifuatavyo, waliwatumia watu wa IT wa TRA kuondoa yale maconteiner kwenye system yao. Kwahiyo audit zote zilipita bila tatizo. Ila ukiangalia kwenye list ya TPA utagundua makontena ni mengi lakin kule TRA hayajalipiwa. Sasa huyo Mwakyembe anaingiliana vipi na TRA? Mtasumbuka sana na Mwakyembe maana amewashika pa baya mmeshindwa hata kupumua kwa ufisadi wenu. Swali la mwisho je mmemsikia mkurugenzi wa TPA kuhusishwa kwenye suala hili?