Marwa_J_Merengo
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 4,511
- 6,888
kuna tetesi huku uswahilini kuwa kadri mwanaume anavyozidi kuongeza degree ndivyo anavyozidi kuwa mjinga
dr.shika
dr.shika
Jaribu kutumia akili japo kidogo(kama unazo kwani kwa arguments yako inatia shaka), point ni kuona hastahili kukosolewa kisa ana degrees 4 ndiyo maana wadau wakakutolea mfano huo.Sasa kipi alichofanya mheshimiwa Mwakyembe mpaka ikilinganishe na kunya kwenye kituo cha mabasi?
Tuna wasomi wajinga wengi, yani kujiona wew n bora zaidi ya wengne kisa tu unawazidi degree zako ni ujinga wa ngazi ya juu sana. Hvi huyo mwakyembe akiumwa hawez kupata ushauri wa matumizi ya dawa kwa nesi mwenye certificate tu?
Njaa inawafanya wasomi wengi kuwa wajinga
Mod naomba na huu uzi uamishwe kwenye jukwaa la utani.Hi everyone in here!
Bila kupindapinda nasema hivi: Watanzania wengi hasa hasa maskini na wasio na elimu dunia wanasumbuliwa na complex inferiority yaani umaskini wao na udogo wa elimu yao unawafanya wawaone matajiri na wenye elimu kama maadui. Kwa tabia hizi tutafikia kweli uchumi wa viwanda?
Juzi hapa nimepost kuhusu uncle wangu aliyechanganyikiwa. Huwezi amini moderators wakatoa wakauamisha uzi wangu na kuupeleka kwenye jukwaa la utani. Eti hawaamini kuwa yale ni maisha ambayo watanzania wanaishi. Wanakataa kuwa kuna shule za nursery watoto wanalipa milioni 27 kwa mwaka! Tutafika tuendako kweli?
Juzi Mheshimiwa Mwakyembe amesema hawezi kukosololewa na MTU wa elimu ndogo kwa kuwa yeye ni msomi wa degree nne. Watu wamepanic wametukana hadi wanatia huruma.
Akilini nikajiuliza kama degree nne wanatukana, vipi Mzee wangu Rutashoborwa mwenye degree 7 na anampango wa kuongeza tatu, siku akiitisha press conference na kusema hivyo so nchi itamtenga.
Mimi binafsi, sijaona kosa la Mwakyembe, degree nne ni za kwake, darasa la saba ni la kwako. Kila mtu ana uwezo wake na tuuheshimu.
Tukiheshimiana tutapendana, tukipendana tutaheshimiana.
Jambo Tanzania.
Tutafika kwani tunaenda wapi dogo?Uelewa wako ndio shida sio ww mkuu.
Mtu akitaja umaskini wake mbele ya mkadamnasi yupo sawa...ila MTU akielezea nafanikio yake anajivuna.
Kwa akili hizi tutafika kweli?
Kama imekuuma rudi ShuleEndelea kula tu matoke huko kwenu kashozi..maana umeandika ujinga ujinga sana..
Kwahiyo mtu akiwa na degree nne akiwa anakunya nje ya nyumba inabidi walioishia darasa la nne wasimwambie aache ujinga??
Kama ndio hivyo kwanini huyo Mwakyembe anamdharau huyo wa la saba?Mwakyembe huyo huyo akumbuke kuwa wa darasa la 7 huko kyela ndio wapiga kura wakeHi everyone in here!
Bila kupindapinda nasema hivi: Watanzania wengi hasa hasa maskini na wasio na elimu dunia wanasumbuliwa na complex inferiority yaani umaskini wao na udogo wa elimu yao unawafanya wawaone matajiri na wenye elimu kama maadui. Kwa tabia hizi tutafikia kweli uchumi wa viwanda?
Juzi hapa nimepost kuhusu uncle wangu aliyechanganyikiwa. Huwezi amini moderators wakatoa wakauamisha uzi wangu na kuupeleka kwenye jukwaa la utani. Eti hawaamini kuwa yale ni maisha ambayo watanzania wanaishi. Wanakataa kuwa kuna shule za nursery watoto wanalipa milioni 27 kwa mwaka! Tutafika tuendako kweli?
Juzi Mheshimiwa Mwakyembe amesema hawezi kukosololewa na MTU wa elimu ndogo kwa kuwa yeye ni msomi wa degree nne. Watu wamepanic wametukana hadi wanatia huruma.
Akilini nikajiuliza kama degree nne wanatukana, vipi Mzee wangu Rutashoborwa mwenye degree 7 na anampango wa kuongeza tatu, siku akiitisha press conference na kusema hivyo so nchi itamtenga.
Mimi binafsi, sijaona kosa la Mwakyembe, degree nne ni za kwake, darasa la saba ni la kwako. Kila mtu ana uwezo wake na tuuheshimu.
Tukiheshimiana tutapendana, tukipendana tutaheshimiana.
Jambo Tanzania.
Sie wenye degree tatu tu comment wapi??Hi everyone in here!
Bila kupindapinda nasema hivi: Watanzania wengi hasa hasa maskini na wasio na elimu dunia wanasumbuliwa na complex inferiority yaani umaskini wao na udogo wa elimu yao unawafanya wawaone matajiri na wenye elimu kama maadui. Kwa tabia hizi tutafikia kweli uchumi wa viwanda?
Juzi hapa nimepost kuhusu uncle wangu aliyechanganyikiwa. Huwezi amini moderators wakatoa wakauamisha uzi wangu na kuupeleka kwenye jukwaa la utani. Eti hawaamini kuwa yale ni maisha ambayo watanzania wanaishi. Wanakataa kuwa kuna shule za nursery watoto wanalipa milioni 27 kwa mwaka! Tutafika tuendako kweli?
Juzi Mheshimiwa Mwakyembe amesema hawezi kukosololewa na MTU wa elimu ndogo kwa kuwa yeye ni msomi wa degree nne. Watu wamepanic wametukana hadi wanatia huruma.
Akilini nikajiuliza kama degree nne wanatukana, vipi Mzee wangu Rutashoborwa mwenye degree 7 na anampango wa kuongeza tatu, siku akiitisha press conference na kusema hivyo so nchi itamtenga.
Mimi binafsi, sijaona kosa la Mwakyembe, degree nne ni za kwake, darasa la saba ni la kwako. Kila mtu ana uwezo wake na tuuheshimu.
Tukiheshimiana tutapendana, tukipendana tutaheshimiana.
Jambo Tanzania.



Akafie mbele na hizo degree Zake saba, migomba inakauka kwa mnyauko, kahawa haizalishi kama zamani bado unaleta habari za degree saba, ameshindwa kuZitumia hizo degree Zake kumaliza hayo matatizo... Pathetic foolHi everyone in here!
Bila kupindapinda nasema hivi: Watanzania wengi hasa hasa maskini na wasio na elimu dunia wanasumbuliwa na complex inferiority yaani umaskini wao na udogo wa elimu yao unawafanya wawaone matajiri na wenye elimu kama maadui. Kwa tabia hizi tutafikia kweli uchumi wa viwanda?
Juzi hapa nimepost kuhusu uncle wangu aliyechanganyikiwa. Huwezi amini moderators wakatoa wakauamisha uzi wangu na kuupeleka kwenye jukwaa la utani. Eti hawaamini kuwa yale ni maisha ambayo watanzania wanaishi. Wanakataa kuwa kuna shule za nursery watoto wanalipa milioni 27 kwa mwaka! Tutafika tuendako kweli?
Juzi Mheshimiwa Mwakyembe amesema hawezi kukosololewa na MTU wa elimu ndogo kwa kuwa yeye ni msomi wa degree nne. Watu wamepanic wametukana hadi wanatia huruma.
Akilini nikajiuliza kama degree nne wanatukana, vipi Mzee wangu Rutashoborwa mwenye degree 7 na anampango wa kuongeza tatu, siku akiitisha press conference na kusema hivyo so nchi itamtenga.
Mimi binafsi, sijaona kosa la Mwakyembe, degree nne ni za kwake, darasa la saba ni la kwako. Kila mtu ana uwezo wake na tuuheshimu.
Tukiheshimiana tutapendana, tukipendana tutaheshimiana.
Jambo Tanzania.
Unashida gani kwenye akili yako?
Mbona mnatengeneza metaphors zisizo na kichwa wala miguu?
Complex inferiority =
Inferiority complex =![]()
Asante mkuu.
Tatizo English ni lugha yangu ya tatu.
Ubarikiwe.
Naamini ulichoandika sicho ulichofikiria, kama ndicho mshauri waziri nafasi ya uongozi Wa umma haimfai.Hi everyone in here!
Bila kupindapinda nasema hivi: Watanzania wengi hasa hasa maskini na wasio na elimu dunia wanasumbuliwa na complex inferiority yaani umaskini wao na udogo wa elimu yao unawafanya wawaone matajiri na wenye elimu kama maadui. Kwa tabia hizi tutafikia kweli uchumi wa viwanda?
Juzi hapa nimepost kuhusu uncle wangu aliyechanganyikiwa. Huwezi amini moderators wakatoa wakauamisha uzi wangu na kuupeleka kwenye jukwaa la utani. Eti hawaamini kuwa yale ni maisha ambayo watanzania wanaishi. Wanakataa kuwa kuna shule za nursery watoto wanalipa milioni 27 kwa mwaka! Tutafika tuendako kweli?
Juzi Mheshimiwa Mwakyembe amesema hawezi kukosololewa na MTU wa elimu ndogo kwa kuwa yeye ni msomi wa degree nne. Watu wamepanic wametukana hadi wanatia huruma.
Akilini nikajiuliza kama degree nne wanatukana, vipi Mzee wangu Rutashoborwa mwenye degree 7 na anampango wa kuongeza tatu, siku akiitisha press conference na kusema hivyo so nchi itamtenga.
Mimi binafsi, sijaona kosa la Mwakyembe, degree nne ni za kwake, darasa la saba ni la kwako. Kila mtu ana uwezo wake na tuuheshimu.
Tukiheshimiana tutapendana, tukipendana tutaheshimiana.
Jambo Tanzania.
Kuna Mzee mmoja alikuwa serikalini, alikuwa katibu mkuu wizara moja nyeti sana.Hi everyone in here!
Bila kupindapinda nasema hivi: Watanzania wengi hasa hasa maskini na wasio na elimu dunia wanasumbuliwa na complex inferiority yaani umaskini wao na udogo wa elimu yao unawafanya wawaone matajiri na wenye elimu kama maadui. Kwa tabia hizi tutafikia kweli uchumi wa viwanda?
Juzi hapa nimepost kuhusu uncle wangu aliyechanganyikiwa. Huwezi amini moderators wakatoa wakauamisha uzi wangu na kuupeleka kwenye jukwaa la utani. Eti hawaamini kuwa yale ni maisha ambayo watanzania wanaishi. Wanakataa kuwa kuna shule za nursery watoto wanalipa milioni 27 kwa mwaka! Tutafika tuendako kweli?
Juzi Mheshimiwa Mwakyembe amesema hawezi kukosololewa na MTU wa elimu ndogo kwa kuwa yeye ni msomi wa degree nne. Watu wamepanic wametukana hadi wanatia huruma.
Akilini nikajiuliza kama degree nne wanatukana, vipi Mzee wangu Rutashoborwa mwenye degree 7 na anampango wa kuongeza tatu, siku akiitisha press conference na kusema hivyo so nchi itamtenga.
Mimi binafsi, sijaona kosa la Mwakyembe, degree nne ni za kwake, darasa la saba ni la kwako. Kila mtu ana uwezo wake na tuuheshimu.
Tukiheshimiana tutapendana, tukipendana tutaheshimiana.
Jambo Tanzania.
Umenielewa vibaya?
Samahani, umesoma mpaka la ngapi?
Hao waliokupa vyeti hivyo...wameajiliwa kwa sababu walisoma (wana degree) hizo unazoziulizia.najua kusoma na kuandika
japo academically sina cheti chochote.
...tofauti na cheti cha komunio,kipaimara na cha hospitali
*Mkuu kwani degree ni nini?