masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,172
Mbona mmepanic!Mwakyembe amekuwa mpuuzi wa kiwango hiki?
Tz imekwisha
Mbona mmepanic!Mwakyembe amekuwa mpuuzi wa kiwango hiki?
Tz imekwisha
Mjadala
Na ndio sababu kunwa kubwa sana walipinga hoja ya kuwekwa vifaa vya kupimwa ulevi mlangoni wanapoingia...hahahaHaishangazi hilo, mods wenyewe si ndio kina marehemu Isango, ila hili lazima tulishupalie tu, haiwezekana mbunge kwenda bungeni akiwa amelewa pombe, ndio maana wengine wanaishia kutukana matusi ya nguoni kabisa kumbe akili za pombe na bangi.
Yule stoner hujacheki mwili wake.. Anamimina sana Chozi la simba yule Faza, Namkubali sana.ina maana Nassari anakunywa muda wote kama mheshimiwa Waziri Mkuu wetu Mstaafu wa miaka hiyooo ambaye muda mwingi anapenda konyagi na sigara?!!!
Hoja ni Richmond.Sio konyagSwala la ulevi kwa wabunge wetu limekuwa tatizo sugu. Hii ni aibu kwa Taifa kuwa na wabunge wasiotambua wajibu wao kwa wananchi. Kuingia Bungeni akiwa amelewa muda wa kazi ni dharau kwa wana arumeru mashariki ambao wamemwamini na kumpa jukumu la kuwawakilisha bungeni. Sioni kama ni sahihi kwa wabunge wa aina hii , wasioheshimu wajibu wao kurudi tena bungeni bunge lijalo.
Mh. Spika tunakuomba uwe unaweka waangalizi kwa wabunge kabla ya kuingia bungeni, ili kuepusha aibu kama hii, na kuligeuza bunge letu kijiwe cha wahuni.
Kwa hili nakubaliana na MwakyembeHana lolote Mwakyembe ni njaa tu inamsumbua. Hapo ajibu hoja aache kulalama, eti ibueni tena hoja ya Richmond, kwani yeye hawezi kuibua? Mtaibuaje wakati hela mshawalipa akina PAP aache kutishia watu nyau.
Rudia tena hayo maandishi yangu halafu unambie hiyo 100% nimeisemea wapi? Soma uzi wa mtu ukiwa huna ushabiki then utachangia pia ukiwa umeelewa uancho changia, ulicho kifanya hapa ni hasira tu wala sio mchango.Hata mama yake mzazi hawezi kujihaminisha hivyo kwa mwanae..so strange wewe mtu baki unajiaminisha kwa 100%