kinandinandi
Senior Member
- Apr 3, 2015
- 183
- 142
Huwa najisikia vibaya sana kuona viongozi ambao nawaona kabisa ni wasomi na wanatoka mbeya kama Mimi nasononeka sana huyu mwakyembe na tulia vipi ndugu zangu mnaniangusha mbeya haiko kama mlivyo nyinyi jilekebisheni