Wimbo
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 783
- 525
Viongozi wote wanaweza lakini wewe umewazidi kitu kimoja UZALENDO. ili hao wenzako wenye mahisa mazito katika makampuni ya usafirishaji wanaoumiza kazi nzuri ya mzalendo mwenzako Dr. Magufuri, fikiria kubnafsisha treni. jenga reli nzuri na na imara hao wenye mapesa wanunue treni zao za kusafirisha watu na mizigo serikali ibaki kutoza kodi. Wadau hili haliwezekani?