Mwakyembe awamaliza CHADEMA Bungeni!

Mwakyembe awamaliza CHADEMA Bungeni!

Mwakyembe anamwogopa Sugu kufa kupona..! Kyela alishaikosa, CCM walimbeba tu, CDM walishinda Kyela.. sbb Sugu alipiga kampeni balaa kule, Dr. Mwakyembe pamoja na PhD yake, hamwezi kabisa Sugu jukwani...

Ndio tumuulize kama Sugu shule hakumaliza KWNN ANAMHOFIA HIVYO..? na anamgwaya Sugu sana kwann kama hajasoma..? hadi hapo kachemsha..!!
 
Siku Mwakyembe akitaja yale aliyoficha kwa richmond ili serikali isianguke nitamwona wa maana!
 
Hivi bado anajivua magamba huyu au kapona......yani status yake imepwaya sana siku hizi bora hata mwanangu wa primary anaweza kujenga hoja hila sio huyo mwakyembe
 
nilianza kumdharau huyu mzee tokea Richmond na katiba mpya...
 
Unaweza ukawa hujasoma ila kuwa ndani ya Chadema ni Shule kabisa wewe uliosoma umefanya nn?? Na umefika wapi??

Pimbi wewe

Sio shule tu
Chadema ni kama kanisani
Unaiba ukiwa CCM
Ukija chadema unatubu na unasamehewa
Unakuwa msafi
Tinakupa ugombee urais
 
Anamshangaa Mbunge Sugu wa Mbeya ambaye hata Shule hajamaliza na anahoji umahiri wa PhD holder!

Kwa kweli hawa Wabunge wa chadema sijui hiki Chama kinawatoa wapi ni shiida hasa Sugu, Msigwa halafu eti ndiyo diplomat wa chadema!

Mzee wa Gesenyi naona unatetea uraia wako
Ile tanzanite kule Kenya bado ipo au?
 
Another episode from Dr.Kilaza.Eti anajifanya msomi kwa kudiscuss watu badala ya issues.Anajiona mjanja kumbe anajidhalilisha.Bado safari ndefu tunayo.
 
Msemaji amemnukuu Plato vizuri sana.
Maneno yake yanadhihirisha kwamba hakua na hoja hapo bali amesema chochote.

Kwakuamini kwamba eti mtu mwenye PhD hakosolewi na mtu ambae hajafikia level hiyo,huo ndio upuuzi/upumbavu anaouhubiri hapo kwamba Plato anaupinga.

Ajiulize kama wasomi wa PhDndio huipeleka nchi mbele je mwl Nyerere,Kawawa,Karume,Obote,Kenyata walifikia huko?Mbona walipambana na wazungu wasomi na waliokua vizuri kiuchumi na wakashawishika kuondoka?

KUANZIA LEO NASEMA WEWE NI DKT.WA MWENDOKASI ACHA PROPAGANDA MUFILISI UNAWAAIBISHA WAPIGAKURA WAKO NA JIMBONI KWAKO BARABARA ZIMESHEHENI MADIMBWI KIBAO
 
Huyo wamtegemea kwa fikra, utaishia jangwani. Aliishaikana thesis yake mwenyewe
Acha mbwembwe Msikilize tena Mwakyembe vizuri halafu linganisha Msigwa, Kubenea, Lema, Mbowe, Mnyika - kwa miaka 8 walihubiri na walituaminisha kuwa Lowasa ni mwizi na fisadi leo kipo wapi?
 
Kwanza kabisa hakuna shule inayofundisha busara, alafu pia kigezo cha mtu kuongoza watu sio elimu bali ni hekima. Hivi kati ya sugu na mwakyembe nani anayewaongoza wajinga?
Mbona mkiguswa nyie mnawaka Sana. Mbona Kwa Ole mlisemaje? Bora hata yeye katika 4M6
 
Kwanza kabisa hakuna shule inayofundisha busara, alafu pia kigezo cha mtu kuongoza watu sio elimu bali ni hekima. Hivi kati ya sugu na mwakyembe nani anayewaongoza wajinga?
Sasa kama hakuna shule inayofundisha busara, ilikuwaje yeye ahoji umahiri wa PhD katika kuongoza wabunge!
 
Mwache atafute kiki kama yule mrembo kupitia Sugu..Yeye ni waziri wa katiba na shria halafu analalamika kuhisu udhaifu wa katiba na sheria zilizopo..Serikali ya viwanda inasubiri kuzalisha katiba pia..
 
Anamshangaa Mbunge Sugu wa Mbeya ambaye hata Shule hajamaliza na anahoji umahiri wa PhD holder!

Kwa kweli hawa Wabunge wa chadema sijui hiki Chama kinawatoa wapi ni shiida hasa Sugu, Msigwa halafu eti ndiyo diplomat wa chadema!


kama ilivyo kuwa siyo kila mwenye mali anaweza kuwa tajiri, ndivyo ilivyo kwa wenye vyeti vikibwa vya shule na elimu.
 
..wasomi gani hao wa PhD wanaoogopa hoja za wasiosoma?....kinachowafanya waogope hata kuonekana kwenye TV ni nini na PhD zao?.....hoja za hao kina Msigwa na Sugu na Lema wanazikimbia na mi PhD yao..nani mjanja kati yao?....kusoma si kuelimika...BTW hao kina Sugu...Msigwa...Lema..Mbowe et al wamechaguliwa na wananchi wengi kuliko kina mwakyembe wanaojivuna kwa kupewa fadhila ya uwaziri kwasababu tu kuwa kwenye chama kibovu kilicholewa madaraka (na pombe)..
 
Back
Top Bottom