Kalunguine
JF-Expert Member
- Jul 27, 2010
- 2,543
- 134
Mwakyembe alishaupata Ubunge. UnaibuWaziri aliukubali wa nini?
Jamani kwa ninavyoelewa mimi,katika utendaji kazi huwezi kukataa uteuzi.Ni insubordination
Mwakyembe alishaupata Ubunge. UnaibuWaziri aliukubali wa nini?
labda umuulize jina la gazet ukalisome,sasa kwan ukiwa nje ya tanzania huwez kuiona?
Jamani kwa ninavyoelewa mimi,katika utendaji kazi huwezi kukataa uteuzi.Ni insubordination
Hivi hawa wanasiasa wa tz ni nini kinawapata? Mbona hata huyo 'mamvi' nae tunaambiwa ni mgonjwa tu!.....2015 inaweza kuwa mbali sana kwa 'hawa' wagonjwa wote.
kensa gani?kutoka nwele za mwilini kuna ashiria ametumia dawa za kensa.
Ripoti ile sio ya Mwakyembe FP. Hakuwa peke yake.Yeye mwenyewe pia hakufanya FAIR PLAY kwenye ripoti yake. Inawezekana ni maradhi tu lakini wabongo hatuchoki kutafuta sababu.
Inasemekana "SUMU" hii inayomtesa iliwekwa kwenye vifaa vya usafi vilivyoko kwenye choo cha ofisi yake hii ya UnaibuWaziri. "Hadithi" ni nyingi nchi hii! Acha tu.
Ripoti ile sio ya Mwakyembe FP. Hakuwa peke yake.
Alikuwa na hiyari kabisa ya kuukataa uteuzi huu kwa sababu zilizokuwa wazi tu.Jamani kwa ninavyoelewa mimi,katika utendaji kazi huwezi kukataa uteuzi.Ni insubordination
hana lolote mbwembwe tu kama ni siri atasema ili iweje
wakati amesha nyonyoka nywele zote aseme afe na sisisisiem yake! mia
hii nchi mikwala kibao huku mwaki.. kule maguf...,hapa sharif.......... mbele mbatia.................tabu tupu
ukikaribia kufa kufa mwenyewe!
hana siri huyo,mwenye siri huwez kumjua
kwani kunyonyoka kunamzuiaje yeye kusema alichonacho moyoni? anavyozidi kuwa msiri ktk jambo hilo anamaanisha kuwa uozo huo uendelee tu na ikiwezekana wahusika wazidi kufanya mashambulizi hata wengine
ni vyema angesema ili kuwapunguza kasi,na hatujui kama madaktari wake walimhakikishia uhai,maana ngoja ngoja nayo ndio hivyo tena matumbo huumia
Kwa hiyo ukiwa Mwenyekiti tu basi. Kinachommaliza hasa ni kuwabakiza alootakiwa kuwamaliza kwa ripoti ile. Sitta naye amechangia pakubwa kwa namna alivyolimaliza suala lile Bungeni.Alikua mwenyekiti. Na unajua alificha nini tena kwa makusudi. Au pia utaanza ubishi wakati yeye mwenyewe alisema bungeni?
FP,Jamani lets start serious thinking hapa.
Aseme nini kama hana la kusema?
Wewe ukiwa mgonjwa kweli una nafasi ya kuchunguza na kujua aliekutenda kama umetendwa?, si utabakia ukifanya speculation ya yupi kati ya maadui wako uliojijengea kakutenda hivyo?
Dr hawezi kusema kwa sababu hata yeye atakua anahisi tu kama tulivyo sisi na kupenda udaku kwetu.
Jamani lets start serious thinking hapa.
Aseme nini kama hana la kusema?
Wewe ukiwa mgonjwa kweli una nafasi ya kuchunguza na kujua aliekutenda kama umetendwa?, si utabakia ukifanya speculation ya yupi kati ya maadui wako uliojijengea kakutenda hivyo?
Dr hawezi kusema kwa sababu hata yeye atakua anahisi tu kama tulivyo sisi na kupenda udaku kwetu.
Kwa hiyo ukiwa Mwenyekiti tu basi. Kinachommaliza hasa ni kuwabakiza alootakiwa kuwamaliza kwa ripoti ile. Sitta naye amechangia pakubwa kwa namna alivyolimaliza suala lile Bungeni.
FP,
Unamkingia kifua nani? Unatulazimisha kufikiri kama unavyofikiri wewe?