Inasemekana "SUMU" hii inayomtesa iliwekwa kwenye vifaa vya usafi vilivyoko kwenye choo cha ofisi yake hii ya UnaibuWaziri. "Hadithi" ni nyingi nchi hii! Acha tu.Kwani sura/afya yake inahusiana nini na unaibu waziri?
Inasemekana "SUMU" hii inayomtesa iliwekwa kwenye vifaa vya usafi vilivyoko kwenye choo cha ofisi yake hii ya UnaibuWaziri. "Hadithi" ni nyingi nchi hii! Acha tu.Kwani sura/afya yake inahusiana nini na unaibu waziri?
huenda anasubiri 2015 ikaribie ndo aweke mambo hadharani kwa kudhani utakuwa mtaji wa kisiasa
Huyo Dr hana jipya
Kuna wasioliona hili, alikubali kutumiwa na wenye uchu wa madaraka na wasioweza hata kuongoza serikali ya kijiji, sasa imeshamung،unya kwake, bora ajifungie kwake amalize siku zake zilizosalia kwa amani.
Inasemekana "SUMU" hii inayomtesa iliwekwa kwenye vifaa vya usafi vilivyoko kwenye choo cha ofisi yake hii ya UnaibuWaziri. "Hadithi" ni nyingi nchi hii! Acha tu.[/QU
Mhh makubwa haya,
Scan utuonyeshe wengine hatupo Tanzania
Hivi siri inasemwa hadharani?
Mavumbini ulitoka na mavumbini mwanadamu utarudi. Inauma lakini ndio amri ya Mola hakuna jinsi ila ole ni wao wanaotaka kuliharakisha zoezi hilo.
Pole sana Comrade Mwakyembe ndio siasa za kiafrika hizo hazina fair play..
nilisema na ninarudia......huyu hawezi kurudi katika hali yake ya kawaida.......mana cheers zilizogongwa kwa kufanikisha hili zilidhihirisha mafanikio makubwa........alipokwenda india kisha akasema akirudi atasema yote hili nalo lilikuwa kosa la tatu....akastuliwa kidogo kuwa ukisema ndio basi...amerudi nyumbani akasema anamwachia Mungu ..kosa la nne....
kuhusu huyu ukurasa ulishafungwa tangu mwaka jana mwezi wa 8 mwanzoni....