Mwakyembe anasikitisha! Walaaniwe wanaohusika!

Mwakyembe anasikitisha! Walaaniwe wanaohusika!

Namsifu ndugu Mwakyembe,maneno aliyosema ni machache lakini yenye busara ya kiMungu. Binafsi nakuombea afya njema na ulinzi wa Milki ya Mbinguni uwe pamoja nawe. Mnao dhihaki afya na pengine sura yake nawapa pole..., hujafa hujaumbika! Thamani yetu haipo kwenye sura,ipo ktk pumzi ya zawadi ya uhai anayotupa Mwenyezi na matendo yetu ya kiadilifu kwa binadamu wenzetu. Kama mnalipwa na mafisadi ili kumdhihaki nawapa pole tena!
 
Teeeeh....teeeeh...ugonjwa wa mtu ni siri kati yake na daktari (Mwandosya).Serikali iseme nini juu ya Mwakyembe?
Ugonjwa ni siri kwa sisi vipanya lakini kwa wafanya kazi wetu kama kikwete na mawaziri wake tunapaswa kujuzwa....
 
Mwenzake(mzee six) ameona mwenzake alivyonyolewa na yeye ametia maji. Kila siku hupandisha ofisini kwake (water front) akiwa na chupa yake ya maji ya kunywa toka nyumbani kwake. akitumia yakiisha anatoka mwenyewe kwenda kutafuta kwenye maduka tofauti kila siku. Hii ni hatari sana uhasama unapofikia hatua hii. ni vizuri vile vile serikali ikatuambia bayana kwamba majibu ya mabingwa wa india yanasemaje, alikuwa anaumwa nini, na ugonjwa huo amaupataje????
linapofika swala kama hilo intelejensia huwa haifanyi kazi....
 
Mimi pia niliona kwenye tv amevaa gloves, nina wasiwasi na hiyo kofia, yawezekana kichwani pamenyonyoka pia! chezea magamba wewe

Kweli ni kiboko.
Na yakipata uongozi tutachinjwa weye!
 
Mwalim jkn hakupewa hata muda wa kujitetea.tunaomba tupewe ripoti yake.maskini mzee wa watu.wtz machozi yaliyowatoka iko siku na hili halifiki 2020 tutamjua aliemfanyia hujuma
 
attachment.php


Mhhh huyu ni Dr.Mwakyembe kweli? Mmmhhh sikubali yeye mbona alikua na ngozi yenye nuru na haina makunyanzi? Au ni Baba yake mdogo?
 
Mwenzake(mzee six) ameona mwenzake alivyonyolewa na yeye ametia maji. Kila siku hupandisha ofisini kwake (water front) akiwa na chupa yake ya maji ya kunywa toka nyumbani kwake. akitumia yakiisha anatoka mwenyewe kwenda kutafuta kwenye maduka tofauti kila siku. Hii ni hatari sana uhasama unapofikia hatua hii. ni vizuri vile vile serikali ikatuambia bayana kwamba majibu ya mabingwa wa india yanasemaje, alikuwa anaumwa nini, na ugonjwa huo amaupataje????

Wanasema ugonjwa ni siri ya mgonjwa na daktari wake, lakini kwa afya ya viongozi nafikiri tunayo haki ya kujua hali ya afya zao.
 
Tena hiyo picha ya gazeti imemtoa kistaarabu. Mikononi alivaa ma-gloves meusi hivi. Ile nyumba yake pale Kunduchi kajenga kwa hela ipi?

Duh! Mkuu! Unajilinganisha wewe na Dk. Mwakyembe? Dk. Mwakyembe ni mwalimu wangu wa sheria Mlimani miaka ya tisini. Ikiwa leo hii sisi wanafunzi wake tuna maghorofa, sembuse yeye wakili mwandamizi wa siku nyingi wa Mahakama Kuu, consultant wa corporate matters wa kuaminiwa, mhadhiri wa kimataifa, mwanzilishi (pamoja na wenzake) wa taasisi tunayojivunia leo ya Legal and Human Rights Centre na Mbunge mwanzilishi wa Bunge la Afrika ya Mashariki? Mkuu, tafuta hoja nyingine, hii umekwama!

 
Wanasema ugonjwa ni siri ya mgonjwa na daktari wake, lakini kwa afya ya viongozi nafikiri tunayo haki ya kujua hali ya afya zao.

You are right. Lakini si kwa kuropoka tu bila utaratibu. Wacha Serikali ipitie taarifa yake, iseme inachoweza kusema, ikishindwa Mwakyembe atasema. Ameahidi hivyo!
 
Huyu jamaa kutokana na hiyo picha yake aliumizwa sana hata hapo anaposema kuwa amepona , sura yake inaonesha kuwa bado ni mgonjwa anaehitaji tiba zaidi!!
 
Mwenzake(mzee six) ameona mwenzake alivyonyolewa na yeye ametia maji. Kila siku hupandisha ofisini kwake (water front) akiwa na chupa yake ya maji ya kunywa toka nyumbani kwake. akitumia yakiisha anatoka mwenyewe kwenda kutafuta kwenye maduka tofauti kila siku. Hii ni hatari sana uhasama unapofikia hatua hii. ni vizuri vile vile serikali ikatuambia bayana kwamba majibu ya mabingwa wa india yanasemaje, alikuwa anaumwa nini, na ugonjwa huo amaupataje????

Haya mambo ya kuuana kwa sumu mkweree anayajua kuwa yapo huko chama cha magamba kwani aliwahi kusema kuwa uhasama wa makundi kwenye chama chao umefikia hatua ambayo mtu hawezi kuacha glasi yake ya kinywaji mezani bila ulinzi mathubuti!! The country has reached a pitiful stage.
 
R.I.P dk kwa jinsi ninavyo ijua Polium siku zako zinaesabika anza kugawa urithi kweli nakwambia 2014 hufiki. Mafisadi wamejipanga kuwamaiza wooooote mnaolewawekea vigingi. Kazi kwako Dr. Saaaa your the next
 
Sorry typing error nilimaanisha Polonium

Tatizo lako unatoa povu na kubwabwaja tu ndo maana unakosea, kwa taarifa yako umekosea tena angalia vizuri au huoni nikuoneshe. Nitarudi baadae
 
huyu bwana bado mgonjwa sana..huko kichwani akivua hiyo kofia ni balaa...hana nywele na ana mapunye..mikono yake kawa kama mtu aliyeungua moto na akiwa nyumbani au poote pale anavaa gloves...akivua hilo shati unaweza kusema chatumaana ana makovu kila sehemu......amepewa dawa ataendelea kutumia maana madktari wamedili zaidi na ngozi lakini sio kiini cha tatizo...kwa kifupi jmaa bado mgonjwa
 
Back
Top Bottom