Mwakyembe anasikitisha! Walaaniwe wanaohusika!

Mwakyembe anasikitisha! Walaaniwe wanaohusika!

Teeeeh....teeeeh...ugonjwa wa mtu ni siri kati yake na daktari (Mwandosya).Serikali iseme nini juu ya Mwakyembe?
 
imeniuma kuona sura yake imekuwa yakizee mpaka nashindwa hata kuitazama raia wabaya sana. Nitarudi baadae kidogo
attachment.php
 

Attachments

  • Mwakyembe.jpg
    Mwakyembe.jpg
    13.6 KB · Views: 1,269
nafikiri hata hiyo kofia aliyo vaa kuna kitu kaficha. siyo kawaida yake. inawezekana zile afro zake zina mshikeli. mia

I thought the same way....na hapo ni baada ya kumpaka mafuta ya kutosha usoni na kumfanyia make up maana ni kama sura ina ng'aa
 
Pole Dr ila Mungu atakulipia tu, uwezekano wa kusema kinachokukabili ni bora zaidi ili kuwaweka wazi waombezi wako
 
Labda bado anajipanga kusema, tusubiri tu si unajua jamaa hapendi kukurupuka.
Tulishasema Mwakyembe na Sitta ni wanafiki tukatukanwa humu.labda pitieni kwenye Kamusi maana ya neno Mnafiki ili tuelewane vizuri!
 
Back
Top Bottom