Mwakyembe aitumia TAKUKURU kumng'oa Jamal Malinzi TFF?

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,470
911,174
Zimezagaa tetesi za Takukuru kumfikisha mahakamani Rais wa TFF Jamal Malinzi na wakati huohuo Waziri wa Michezo amesikika akilonga na vyombo vya habari serikali imekusudia kuleta mabadiliko makubwa TFF.

Tatizo hizi jitihada mbili zinasukumwa na uchaguzi wa TFF vinginevyo hakuna mageuzi zaidi ya kuwang'oa waliopo na kuwapachika makada wa CCM kama akina Ally Tembele au Mwakalebela n.k

Katiba ya FIFA iko wazi serikali zikae mbali na siasa za TFF na hizi jitihada za Mwakyembe na wenzie zinaweza kabisa kusababisha tukafungiwa soka miaka miwili sasa sijui hayo mageuzi hewa yatapenya wapi?

Vyombo vya khabari havikumhoji Mwakyembe ni aina gani zaidi ya kumng'oa Malinzi na timu yake?

Serikali haina mkakati wowote wa kusaidia soka ili ijitegemee zaidi ya kudhoofisha.
Hata kodi kwenye vifaa vya michezo wameshindwa kuifuta kwenye bajeti ya sasa na ni mageuzi yapi hayo makubwa?
 
Zimezagaa tetesi za Takukuru kumfikisha mahakamani Rais wa TFF Jamal Malinzi na wakati huohuo Waziri wa Michezo amesikika akilonga na vyombo vya habari serikali imekusudia kuleta mabadiliko makubwa TFF.

Tatizo hizi jitihada mbili zinasukumwa na uchaguzi wa TFF vinginevyo hakuna mageuzi zaidi ya kuwang'oa waliopo na kuwapachika makada wa CCM kama akina Ally Tembele au Mwakalebela n.k

Katiba ya FIFA iko wazi serikali zikae mbali na siasa za TFF na hizi jitihada za Mwakyembe na wenzie zinaweza kabisa kusababisha tukafungiwa soka miaka miwili sasa sijui hayo mageuzi hewa yatapenya wapi?

Vyombo vya khabari havikumhoji Mwakyembe ni aina gani zaidi ya kumng'oa Malinzi na timu yake?

Serikali haina mkakati wowote wa kusaidia soka ili ijitegemee zaidi ya kudhoofisha.
Hata kodi kwenye vifaa vya michezo wameshindwa kuifuta kwenye bajeti ya sasa na ni mageuzi yapi hayo makubwa?
mkuu hata BLATTER aling'olewa na serikali kwa kashfa ya rushwa,acha kudanganya watu,Malinzi atakaa ndani mpaka usaili upite ili asiwe mgombea
 
Zimezagaa tetesi za Takukuru kumfikisha mahakamani Rais wa TFF Jamal Malinzi na wakati huohuo Waziri wa Michezo amesikika akilonga na vyombo vya habari serikali imekusudia kuleta mabadiliko makubwa TFF.

Tatizo hizi jitihada mbili zinasukumwa na uchaguzi wa TFF vinginevyo hakuna mageuzi zaidi ya kuwang'oa waliopo na kuwapachika makada wa CCM kama akina Ally Tembele au Mwakalebela n.k

Katiba ya FIFA iko wazi serikali zikae mbali na siasa za TFF na hizi jitihada za Mwakyembe na wenzie zinaweza kabisa kusababisha tukafungiwa soka miaka miwili sasa sijui hayo mageuzi hewa yatapenya wapi?

Vyombo vya khabari havikumhoji Mwakyembe ni aina gani zaidi ya kumng'oa Malinzi na timu yake?

Serikali haina mkakati wowote wa kusaidia soka ili ijitegemee zaidi ya kudhoofisha.
Hata kodi kwenye vifaa vya michezo wameshindwa kuifuta kwenye bajeti ya sasa na ni mageuzi yapi hayo makubwa?
Kama anaharibu tutegemee nini? Naionea huruma Tanzania. Watu walio mbele mbele wengi hawastahili. Wanataka tuseme wrong is right Ile waendelee kukaa mbele kama viongozi
 
Hii itakuwa kama kipindi kile BMT ilipomchoka Alhaj Ndolanga maana ilibidi nguvu ya ziada itumike ili kumtoa jamaa.



Hivi Joseverest huna interest na soka la bongo?!
Huu mkakati ulitumiwa na USA kumng'oa Sepp Blatter urais wa FIFA
 
Ww ulitaka kama Mali ya Nzi amekutwa na ubadilifu wa mali na rushwa aachwe huru achen ktetea ujinga bas
Ubadhirifu umejulikana kipindi cha uchaguzi tu? Baada ya uchaguzi kama malengo yakitimia ya kupachika makada wa chama utasikia DPP anawafutia kwa nolle prosequi
 
Back
Top Bottom